Hata kama kuna changamoto ya milika haingii akilini geti lililo bize kuliko mageti yote kwa kupisha Watalii eti halina simu.
Ukitaka kupiga simu ni hadi utafute simu za watu binafsi na kwa kuwa wana hamishwa hamishwa ni usumbufu mkubwa kwa wanaopitisha wageni.
WAWEKE HATA SIMU INAYOTUMIA MTANDAO -WhatApp Ila muhimu zaidi, SIMU IKIWEKWA na IPOKELEWE !!!
Ukitaka kupiga simu ni hadi utafute simu za watu binafsi na kwa kuwa wana hamishwa hamishwa ni usumbufu mkubwa kwa wanaopitisha wageni.
WAWEKE HATA SIMU INAYOTUMIA MTANDAO -WhatApp Ila muhimu zaidi, SIMU IKIWEKWA na IPOKELEWE !!!