NBC kumaliza mkataba na Erolink

NBC kumaliza mkataba na Erolink

maege

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
309
Reaction score
73
wadau naomba mwenye taazifa juu ya hili anijuze!!! Kuna uvumi kuwa huwenda huu ndo ukawa mwezi wa mwisho wa mkataba wa waajiriwa wa muda wa nbc waliokuwa chini ya Erolink coz benk imemaliza restructuring iliyokuwa inaifanya baada ya kununuliwa na Bacrays kutoka ABSA, nina dogo langu lipo mwaka wa pili sasa anarenew mkataba kila baada ya miezi mitatu..... Bado hajaambiwa rasmi ila anafuraha kuwa anaachana na wanyanyasaji Erolink tho matumaini ya ajira NBC ni madogo!!!! Mwenye taazifa juu ya hili anijuze!!!! Thax.
 
wadau naomba mwenye taazifa juu ya hili anijuze!!! Kuna uvumi kuwa huwenda huu ndo ukawa mwezi wa mwisho wa mkataba wa waajiriwa wa muda wa nbc waliokuwa chini ya Erolink coz benk imemaliza restructuring iliyokuwa inaifanya baada ya kununuliwa na Bacrays kutoka ABSA, nina dogo langu lipo mwaka wa pili sasa anarenew mkataba kila baada ya miezi mitatu..... Bado hajaambiwa rasmi ila anafuraha kuwa anaachana na wanyanyasaji Erolink tho matumaini ya ajira NBC ni madogo!!!! Mwenye taazifa juu ya hili anijuze!!!! Thax.

nasikia ile ndoa ya erolink ni kifo yenyewe itawatenganisha nyuma ya pazia nasikia kuna mr big potato pale nbc ana hisa erolink bt cna hakika na hili.
 
Oh! Kaka Maege, ulipotelea wapi ndugu? Nimefurahi sana kuona uzi wako leo. Uliacha historia kwenye uzi fulani wa mwaka jana. Sidhani kama kuna mtu kaivunja historia ile.

Sina updates za uzi wa leo ila JF ni kila kitu. Majibu yatapatikana. Ahsante.
 
Oh! Kaka Maege, ulipotelea wapi ndugu? Nimefurahi sana kuona uzi wako leo. Uliacha historia kwenye uzi fulani wa mwaka jana. Sidhani kama kuna mtu kaivunja historia ile.

Sina updates za uzi wa leo ila JF ni kila kitu. Majibu yatapatikana. Ahsante.

maisha kaka ndo tatizo, wamebana kila kona. So tupo vijijini tunapambana na biashara za mazao
 
Umegusia mambo mawili muhimu unyonyaji wa Erolink na mkataba kusitishwa na NBC anika huu unyonyaji tuufahamu wengine
 
ha ha ha erolink bana
Anyway ndo maisha yetu ya bongo
 
Umegusia mambo mawili muhimu unyonyaji wa Erolink na mkataba kusitishwa na NBC anika huu unyonyaji tuufahamu wengine
hakuna permanent cotract hata ulifanya nao zaidi ya miezi sita kama sheria inavyosema, dogo kapiga kazi miaka miwili sasa ila bado ni tempo (kufanikisha hilo unarenew contract ever after 3 mnths na mengine mengi sana)
 
hakuna permanent cotract hata ulifanya nao zaidi ya miezi sita kama sheria inavyosema, dogo kapiga kazi miaka miwili sasa ila bado ni tempo (kufanikisha hilo unarenew contract ever after 3 mnths na mengine mengi sana)
hamna ukibarua wa miaka miwili......mwisho wa ukibarua ni miezi sita tu......wakikutimia baada ya miaka miwili unawadai chako...kama makato ya mifuko ya jamiii na mengineyo.......wabongo hatujui haki zetu kabisa.....
 
hamna ukibarua wa miaka miwili......mwisho wa ukibarua ni miezi sita tu......wakikutimia baada ya miaka miwili unawadai chako...kama makato ya mifuko ya jamiii na mengineyo.......wabongo hatujui haki zetu kabisa.....

umekurupuka wewe, jamaa kasema kila baada ya miezi mitatu mkataba unaexpire unasign mpya, hakuna contract ya miezi sita wala miaka miwili....wewe sasa ndo huna chako
 
Kibarua two years?????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
umekurupuka wewe, jamaa kasema kila baada ya miezi mitatu mkataba unaexpire unasign mpya, hakuna contract ya miezi sita wala miaka miwili....wewe sasa ndo huna chako

Hajakurupuka ni sawa! Hata wafanyakazi wa kutwa akifanya kazi mfururizo kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita, anastahili mafao yake kama ataachishwa kazi. Tofauti itakayokuwepo itategemea aina ya mkataba wa kazi aliopewa. Kwa ufupi ni kwamba wote wanapaswa kupewa notice kama unawaachisha kazi na kama amefanya kazi zaidi ya mwaka mmoja anastahili Severance allowance.
 
Ni kweli, kuna mtu anafanya huko namfahamu, wameambiwa mwezi wa 8 mkataba na erolink una sitishwa, kuna watakao ajiriwa permanent na watakaoachishwa,
 
Hajakurupuka ni sawa! Hata wafanyakazi wa kutwa akifanya kazi mfururizo kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita, anastahili mafao yake kama ataachishwa kazi. Tofauti itakayokuwepo itategemea aina ya mkataba wa kazi aliopewa. Kwa ufupi ni kwamba wote wanapaswa kupewa notice kama unawaachisha kazi na kama amefanya kazi zaidi ya mwaka mmoja anastahili Severance allowance.

wee ndo umekurupuka mazimaaaaa
 
umetumia neno kuntu mwanajamii, una vielelezo vyovyote kutanabaisha madai yako?

nawafaham sana hawa jamaa, kuna ndugu yangu kafanya nao kazi zaidi ya miaka miwil sasa, lakini analisa kila siku..
 
Huwa najiuliza kwanini serikali sikivu inalifumbia macho jambo hili,hawaoni kabisa jamii ya kitanzania
inavyoteseka na makampuni ya kinyonyaji kama hawa erolkn,na pili bank kubwa kama NBC inasign contract
na hii kampuni ku outsource staff whats so special,watanzania nahisi tumerogwa kwakweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom