Hahahahaha Courtesy bwana wewe ni mkali, yaani wewe kila sehemu mtu anapoomba kupata update ya interview iwe oral au written wewe unamwambia kuwa washaanza kazi du hata kutia moyo ndugu yangu ina maana upo pande nne za dunia
Hahahahaha Courtesy bwana wewe ni mkali, yaani wewe kila sehemu mtu anapoomba kupata update ya interview iwe oral au written wewe unamwambia kuwa washaanza kazi du hata kutia moyo ndugu yangu ina maana upo pande nne za dunia
Hahahahaha Courtesy bwana wewe ni mkali, yaani wewe kila sehemu mtu anapoomba kupata update ya interview iwe oral au written wewe unamwambia kuwa washaanza kazi du hata kutia moyo ndugu yangu ina maana upo pande nne za dunia
namzingua kijana hahaha!!let me tell you onething mkuu,jf wengine tunaingia kuburudika
so kama kila kitu mtu akikiongea una chukulia serious unaweza kufa kabla ya wakati
kuna mchizi namfahamu kamaliza training juzi na hao nbc,na hivi sasa kapangiwa branch mlimani city sijui
so brother keep on waiting watakuita next batch