POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Wadau! Habari zimezagaa mjini kuwa, Kuna dalili zote za kutokea mgomo mkubwa ndani ya NBC Bank, ile bank iliobinafsishwa kwa makaburu kwa bei ya chee, sasa kuna mgomo baridi, wafanyakaz wananyanywaswa sana, wameongezewa muda wa kutoka oficn kinyume cha sheria za kazi, pia mishahara na bonus kiduchu, huku menegment ikila bata, zaidi ya million150, kwa mtu mmoja wakati teller laki3.
My take: kama ni kweli ngomeni fasta, mpaka kieleweke: tupo nyuma yenu.
Wakuu hii imekaa vp?
My take: kama ni kweli ngomeni fasta, mpaka kieleweke: tupo nyuma yenu.
Wakuu hii imekaa vp?