ujinga tu umemponza, ni yeye tu anayejirudisha nyuma na akina Jocket, huu si ushenzi kila mwezi yupo Dar aonekane anatesa , ujinga mtupu na kama hatabadilika na kuacha ukichaa wa kaitanzania atachemka mi nawaahidi, mfatilieni dogo wa zanziba anayecheza chelsea, yuko committed to the maxmum ila huyu mmmm!