Japan not China
Finally the Warriors are starting to show why they are the 2017/2017 champions and are expected to retain the trophy this season. For two consecutive games they have come from behind in the 4th quarter to win handsomely! Not only that, GSW has so many promising young talents being groomed to take over from the old guards and my, are they good! Bell, Young, McCaw, Looney and Jones have shown their prowess and are they ready!Toronto vs GSW; 4th quarter, so real.
Nilitahadharisha tangu mapema sana kwamba safari hii maajabu yanaweza yakatokea...umdhaniye ndiye anaweza akawa siye!Msimu huu wa NBA !!. Mategemeo yapo mbali na yanayotokea
Kwa kweli sikutegemea kuwa baada ya Spurs kuongoza 31-12 dhidi ya Warriors katika kipindi fulani cha quarter ya kwanza wangekuja kupoteza kwa point 20 (92-112) mwisho wa mchezo. Kuitangulia GSW wakati wowote katika mchezo si indiketa ya kushinda mchezo huo na ukikuta unaongoza ni vizuri ukichukua tahadhari maana dakika yoyote mambo yanaweza kubadilika. Hongera Warriors!The Spurs went for the knockout of the Golden State Warriors in the first round. They threw haymaker after haymaker in producing a 19-point advantage late in the opening quarter. The problem was the Warriors executed their version of the rope-a-dope and ended up outscoring their opponents 88-59 in the last three quarters. Golden State (6-3) is now 2-0 on this three-game road trip following a 112-92 win Thursday evening at AT&T Center.