NBA 2016/2017 Season Special Thread

Kumbe timu zinaweza kushinda bila ya star players wao??

Sasa mbona Spurs wanashindwa hata kushinda mechi moja mkuu
Ahahah.... I expected to see this argument from warriors fan.

"Sasa mbona spurs wanashindwa..."

Mkuu, kwa sababu tu Celtics wameweza mbele ya CAVS sio kwamba hata spurs nao wanaweza kufanya kitu kile kile mbele ya GSW. muda mwingine kutokwepo kwa star kuna mfanya kocha abadilishe game plan tofauti na aliyoizoea na hatimae kupata matokeo. Hata Barcelona zamani walikuwa na formation maalumu kwa ajiri ya Messi tu, sasa siku asipokuwepo ilikuwa ina mlazimu kocha abadilishe strategies ambayo ni either itafanya timu kucheza vizuri zaidi au kuvurunda zaidi. Hivyo hivyo hata kwenye basketball

Na pia kwenye mashindano kama haya surprising results huwa zipo tu... Usishangae hata warriors akakalishwa game mbili mfululizo kwenye hii series inayoendelea.
 
Ahahah.... I expected to see this argument from warriors fan.

"Sasa mbona spurs wanashindwa..."

Mkuu, kwa sababu tu Celtics wameweza mbele ya CAVS sio kwamba hata spurs nao wanaweza kufanya kitu kile kile mbele ya GSW. muda mwingine kutokwepo kwa star kuna mfanya kocha abadilishe game plan tofauti na aliyoizoea na hatimae kupata matokeo. Hata Barcelona zamani walikuwa na formation maalumu kwa ajiri ya Messi tu, sasa siku asipokuwepo ilikuwa ina mlazimu kocha abadilishe strategies ambayo ni either itafanya timu kucheza vizuri zaidi au kuvurunda zaidi. Hivyo hivyo hata kwenye basketball

Na pia kwenye mashindano kama haya surprising results huwa zipo tu... Usishangae hata warriors akakalishwa game mbili mfululizo kwenye hii series inayoendelea.
Kwahiyo tukiwafagia leo utasemaje mkuu.. Utarudi kulekule Kawhi kaumia.. Yaani game plan ya Spurs inamtegemea Kawhi pekee wakati hao hao Spurs walimkalisha Rockets kwa zaidi ya vikapu 30 pale pale kwao.. Lakini kwa Warriors kupata hata game moja wanashindwa.. Bron aliweza kupata mbili wakati Kyrie na Love wakiwa nje kwenye finals, ila Spurs hata kucompete wanashindwa..
 
Kwahiyo tukiwafagia leo utasemaje mkuu.. Utarudi kulekule Kawhi kaumia.. Yaani game plan ya Spurs inamtegemea Kawhi pekee wakati hao hao Spurs walimkalisha Rockets kwa zaidi ya vikapu 30 pale pale kwao.. Lakini kwa Warriors kupata hata game moja wanashindwa.. Bron aliweza kupata mbili wakati Kyrie na Love wakiwa nje kwenye finals, ila Spurs hata kucompete wanashindwa..
sasa mkuu GSW ina ilinganisha na Rockets hasa kwenye hatua kama hii kweli?
 

Buzzer-beater ya Avery Bradley yanyamazisha uwanja Quicken Loans Arena!

cleveland-cavaliers-vs-boston-celtics-game-3-of-eastern-conference-finals-may-3-2017-9a0d7de54a375bd5.jpg
 
Kumbe timu zinaweza kushinda bila ya star players wao??

Sasa mbona Spurs wanashindwa hata kushinda mechi moja mkuu
Dah! Braza, yaani unajaribu kila mbinu ku-downplay the fact kwamba GSW are lucky and face a cakewalk!! Kahwi brings both offensive and defensive game. IT ni one-dimensional player. Losing him won't hurt as losing Kahwi. Mbona ni common sense tu mzeeiya?!?
 
Pongezi kwa warriors
Asante sana Mkuu!. Kwa kweli tangu huu mwezi uanze naona kuna upepo mzuri upande wangu, na kwa ushindi huu wa GSW naona pia siku itaendelea kuwa nzuri sana. Kudos to the fellow GSW fans in here nkianza na Steph Curry, Mag3, Tyta (huyu sijamuona kitambo), GEORGE Bertrand, Alegria do povo (miss you, mayne), na wengineo niliowasahau. Pongezi pia ziwaendee Spurs na fans wao kwa kuleta at least "ka-atmosphere" ka ushindani.
Sasa, lemme urge the GSW fanbase in here, don't let this win stick too long in your heads and don't count your chicks before ye eggs actually hatch. Sit down, enjoy the WCF highlights, and let's wait for the winner of the Cavs vs. Celtics ECF, till then... Kudos to y'all!.
 
Asante sana Mkuu!. Kwa kweli tangu huu mwezi uanze naona kuna upepo mzuri upande wangu, na kwa ushindi huu wa GSW naona pia siku itaendelea kuwa nzuri sana. Kudos to the fellow GSW fans in here nkianza na Steph Curry, Mag3, Tyta (huyu sijamuona kitambo), GEORGE Bertrand, Alegria do povo (miss you, mayne), na wengineo niliowasahau. Pongezi pia ziwaendee Spurs na fans wao kwa kuleta at least "ka-atmosphere" ka ushindani.
Sasa, lemme urge the GSW fanbase in here, don't let this win stick too long in your heads and don't count your chicks before ye eggs actually hatch. Sit down, enjoy the WCF highlights, and let's wait for the winner of the Cavs vs. Celtics ECF, till then... Kudos to y'all!.
Mkuu George Betram hapo juu nadhani nimekosea jina/username yako, sorry, mate!
 
Dah! Braza, yaani unajaribu kila mbinu ku-downplay the fact kwamba GSW are lucky and face a cakewalk!! Kahwi brings both offensive and defensive game. IT ni one-dimensional player. Losing him won't hurt as losing Kahwi. Mbona ni common sense tu mzeeiya?!?
Kwahiyo Kawhi angekuwepo Warriors wasingefika finals?

Warriors has beaten The Spurs with only 7 players on roster coming from back to back games without even KD, Iggy and Shaun Livingstone, overcoming 22 points lead by the Spurs with Kawhi on the team (healthy Spurs). And It was important game for the spurs to secure the first seed.. Hao Spurs hata Kawhi angekuwepo wangejitahidi sana wangepigwa within 5..
 
Asante sana Mkuu!. Kwa kweli tangu huu mwezi uanze naona kuna upepo mzuri upande wangu, na kwa ushindi huu wa GSW naona pia siku itaendelea kuwa nzuri sana. Kudos to the fellow GSW fans in here nkianza na Steph Curry, Mag3, Tyta (huyu sijamuona kitambo), GEORGE Bertrand, Alegria do povo (miss you, mayne), na wengineo niliowasahau. Pongezi pia ziwaendee Spurs na fans wao kwa kuleta at least "ka-atmosphere" ka ushindani.
Sasa, lemme urge the GSW fanbase in here, don't let this win stick too long in your heads and don't count your chicks before ye eggs actually hatch. Sit down, enjoy the WCF highlights, and let's wait for the winner of the Cavs vs. Celtics ECF, till then... Kudos to y'all!.
teh teh teh we will be first team in history to go 16-0 on post season.. Cavs down 2-0 and 20 points lead on Game 3 at the half leading to Lebron faking injury to stay out of the sweeping mess..
 
teh teh teh we will be first team in history to go 16-0 on post season.. Cavs down 2-0 and 20 points lead on Game 3 at the half leading to Lebron faking injury to stay out of the sweeping mess..
Easy, son... pump brakes on your words, mzee!. Kesho na keshokutwa hapa uwe safe from "being quoted". But.... Happy...yeeeeaah son be happy!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom