KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hizi ni timu ambazo sitaweza kuuzisahau kamwe katika maisha Yanga kutoka na style yake ya uchezaji na aina ya wachezaji waliokua wakiziwakilisha.Naizungumzia tukuyu star ilipanda daraja mwaka 1986 na kwenda straight kuchukua ubingwa wa tanzania bara wakiziacha simba na yanga zikishangaa shangaa na pia MECCO iliyopanda daraja mwanzoni mwa miaka ya 90 na kuleta changamoto kubwa kwenye mpira wa tanzania kiasi cha kuzitia hofu simba na yanga na mashabiki wao kudhani kwamba timu hiyo wachezaji wake hawakua wa kawaida bali wanatumia madawa ya kuongeza nguvu kutokana na kuwa na stamina ya kutosha hata dakika 180 bila kuchoka.
Hii ndiyo Tukuyu Star ya mwaka 1986 ambayo ilitwa uchampioni tanzania bara mwaka huo huo iliyopanda daraja:
1:Mbwana Makatta
2:Ally Kimwaga
3:Michael Kidulu
4:Godwin Aswile
5:Selemani Mathew
6:Aston Pardon
7:Justine Mtekele
8:Karabi Mrisho
9:Richard Lumumba
10eter Mwakibibi
11:Kelvin Haule
Benchi:
Fadhili Emba-goal keeper
John Alex
Yusuf kamba
MECCO 1990'S
1:George Mangula
2:Rashid Mandaje
3:Gabriel Mwitika
4:Mbaga Mwintinku
5:Charles Makwaza
6anford Ngessi
7:Abed Kasabalala
8:John Moses Kanyiki
9:Betwel Afrika
10:Ephraim Kayetta
11:Nassib Abbas
Reserve:
Juma Ahmadi-Goal Keeper
Nurdin Kasabalala
Jaffar Nyoni
Idd Mzomwe
Augustino Sanga
Vipi vikosi vingine unavyovikumbuka wewe enzi hizi za 1985-1990's,najua wapo watu wa Dodoma humu hapo kulikua na CDA,SONGEA kulikua na majimaji,Arusha kulikua na NDOVU ya huko,MOSHI-USHIRIKA MOSHI,DAR ukiacha SIMBA na YANGA kulikua na PILSNER na SIGARA,MWANZA kulikua na PAMBA na BIASHARA MWANZA,SHINYANGA kulikua na BIASHARA SHINYANGA,KAGERA na KIGOMA zilikuwepo RTC za Huko,Tanga COASTAL UNION na Baadae AFRICAN SPORTS n.k. kama una kumbu kumbu mwaga vikosi vya timu hizo.Hii ni maalum kwa watu wa mpira wenye umri wa miaka 35 na kuendelea...yani karibu kila mkoa kulikua na timu na ligi ilikua ndefu mno kama ya Uingereza,ilichezwa almost mwaka mzima
Hii ndiyo Tukuyu Star ya mwaka 1986 ambayo ilitwa uchampioni tanzania bara mwaka huo huo iliyopanda daraja:
1:Mbwana Makatta
2:Ally Kimwaga
3:Michael Kidulu
4:Godwin Aswile
5:Selemani Mathew
6:Aston Pardon
7:Justine Mtekele
8:Karabi Mrisho
9:Richard Lumumba
10eter Mwakibibi
11:Kelvin Haule
Benchi:
Fadhili Emba-goal keeper
John Alex
Yusuf kamba
MECCO 1990'S
1:George Mangula
2:Rashid Mandaje
3:Gabriel Mwitika
4:Mbaga Mwintinku
5:Charles Makwaza
6anford Ngessi
7:Abed Kasabalala
8:John Moses Kanyiki
9:Betwel Afrika
10:Ephraim Kayetta
11:Nassib Abbas
Reserve:
Juma Ahmadi-Goal Keeper
Nurdin Kasabalala
Jaffar Nyoni
Idd Mzomwe
Augustino Sanga
Vipi vikosi vingine unavyovikumbuka wewe enzi hizi za 1985-1990's,najua wapo watu wa Dodoma humu hapo kulikua na CDA,SONGEA kulikua na majimaji,Arusha kulikua na NDOVU ya huko,MOSHI-USHIRIKA MOSHI,DAR ukiacha SIMBA na YANGA kulikua na PILSNER na SIGARA,MWANZA kulikua na PAMBA na BIASHARA MWANZA,SHINYANGA kulikua na BIASHARA SHINYANGA,KAGERA na KIGOMA zilikuwepo RTC za Huko,Tanga COASTAL UNION na Baadae AFRICAN SPORTS n.k. kama una kumbu kumbu mwaga vikosi vya timu hizo.Hii ni maalum kwa watu wa mpira wenye umri wa miaka 35 na kuendelea...yani karibu kila mkoa kulikua na timu na ligi ilikua ndefu mno kama ya Uingereza,ilichezwa almost mwaka mzima