Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Miaka na zama zilizopita zina raha yake ambayo katu hatuwezi kuipata tena leo.
Gazeti kama Motomoto lilikuwa motomoto kweli, kwani ndilo pekee lililokuwa likiandika habari za vyama pinzani.
Bendi za kipindi kile, Super Matimila, Tancut Almas, Sambulumaa, Washirika Tz Stars a.k.a Watunjatanjata, Marquiz, Mk group, Vijana jazz na nyingine nyingi zilikuwa na ushindani mkali hasa kwenye kinyang'anyiro cha mashibota.
Taarab za kina lssa Matona, Shakila, Bi. Kidude na wengine wengi zilikuwa tamu mno.
Nakumbuka timu za Sigara, Mecco, Pamba na Tukuyu Stars zilivyokuwa zikitamba.
Naikumbuka Nyota Nyekundu ya kina Rosta Ndunguru ilivyokuwa inatembeza daruga.
Nina mengi sana ya kukumbuka ila naomba na wewe uweke unayoyakumbuka.
Gazeti kama Motomoto lilikuwa motomoto kweli, kwani ndilo pekee lililokuwa likiandika habari za vyama pinzani.
Bendi za kipindi kile, Super Matimila, Tancut Almas, Sambulumaa, Washirika Tz Stars a.k.a Watunjatanjata, Marquiz, Mk group, Vijana jazz na nyingine nyingi zilikuwa na ushindani mkali hasa kwenye kinyang'anyiro cha mashibota.
Taarab za kina lssa Matona, Shakila, Bi. Kidude na wengine wengi zilikuwa tamu mno.
Nakumbuka timu za Sigara, Mecco, Pamba na Tukuyu Stars zilivyokuwa zikitamba.
Naikumbuka Nyota Nyekundu ya kina Rosta Ndunguru ilivyokuwa inatembeza daruga.
Nina mengi sana ya kukumbuka ila naomba na wewe uweke unayoyakumbuka.