aah kwa hilo tatizo nyumbani hakuna tayari nishazibua na kila kukijaa huwa nazibua vipi mitaa ya huko kwenu hakuna? na kama ni mkoani wapo wawakilishi wetu naomba utupatie hiyo tenda
kwani umetafsiri nini mkuu usitafutie balaa bure la kupigwa ban kwani si nimetangaza kazi yangu kwani hakuna mtaani kwenu vyoo vilivyoziba na kujaa ili vitapishwe