Nazi tunayo wadada/wanawake

wewe nn mwanaume?[emoji20][emoji20][emoji20]
 
Hatari ila suala la mahusiano pia ni kuanzisha familia hapo inakua mtihani.
 
Sisi wa vibamia ndo tutapotelea uko,wanawake mbaki na mashine zenu
 
Duh!! Kweli habari njemaa kwetu!!

Maana sometimes ke wanazingua.

Lakn vipi jaman linachajiwa au?
Kupika je au show peke yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…