Ndugu, jamaa na marafiki wanasema nimebadilika sana sio Mimi waliyekuwa wamenizoea wasi wasi wao ni kwamba kuna kitu nimefanyiwa ila mimi naona nipo okay..
Tatizo la ndugu au watu wa karibu ni kuwa ukipata kazi mwanzon unapokuwa uko mwenyewe, Baadae ukianza maisha ya familia kwa mshahara ule ule wanataka uendelee kuwapa tu, kaka Focus na familia yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.