Nawezaje kupata youtube

Nawezaje kupata youtube

omaey ashiru

Member
Joined
Dec 8, 2020
Posts
42
Reaction score
33
Habari wanajamvi, nataka kujua jinsi ya kupata youtube simu yangu inatumia "youtube go" na nikidownload youtube nyngne inagoma kudownload sasa naomba mnisaidie
After-12-Years-Google-Gives-YouTube-a-New-Logo.jpg
nexus2cee_youtube-go.jpg
 

Attachments

  • nexus2cee_youtube-go.jpg
    nexus2cee_youtube-go.jpg
    7.6 KB · Views: 16
Hizo tecno na infinix hazina ruhusa ya kutumia youtube ndio wakaja na youtube yao wanaita youtube go

Usanii mwingi sana
 
Unaweza kugoogle na kuweka YouTube nyingine achana na hiyo ya playstore kama inazingua
 
Habari wanajamvi, nataka kujua jinsi ya kupata youtube simu yangu inatumia "youtube go" na nikidownload youtube nyngne inagoma kudownload sasa naomba mnisaidieView attachment 1685970View attachment 1685971
Dah afadhali na wewe umeleta hili swala hapa manake nilishawahi kupost mahali fulani wakaishia kusema et oo simu yangu uwezo mdogo na vitu kama hivyo, sasa leo ndio nitajua shida nini!
 
YouTube go imetengenezwa kwaajili ya simu zenye ram ndogo mfano 1gb na siyo mahususi kwa simu za Tecno na infinix YouTube ya kawaida ukiwa na ram ndogo simu inakuwa nzito na kujaa mapema
Hiyo restriction ni official? Na imewekwa na google wenyewe manake ukiwa playstore hao ndio wanasema et ohh "you can try another version" ambayo ndio youtube go, *** them google! Au imewekwa na tecno na hao nfinix wenu?
 
Habari wanajamvi, nataka kujua jinsi ya kupata youtube simu yangu inatumia "youtube go" na nikidownload youtube nyngne inagoma kudownload sasa naomba mnisaidieView attachment 1685970View attachment 1685971
Japo hazina utofauti mkubwa.
Lakini ukitaka kufuta YouTube Go huwezi cha kufanya ingia kwenye senting ya simu bonyeza hilo faili kunasehemu pameandikwa Disable bonyeza hapo harafu rudi.
Hapo utakuwa kama umefuta theni ingia kwenye duka la Google au duka la Matumizi hapo unaweza kupakua YouTube ya kawaida.
 
Japo hazina utofauti mkubwa.
Lakini ukitaka kufuta YouTube Go huwezi cha kufanya ingia kwenye senting ya simu bonyeza hilo faili kunasehemu pameandikwa Disable bonyeza hapo harafu rudi.
Hapo utakuwa kama umefuta theni ingia kwenye duka la Google au duka la Matumizi hapo unaweza kupakua YouTube ya kawaida.
Google inanipeleka playstore na nikiinstall Bado inagoma
 
Back
Top Bottom