Ni Pm nikupe direction kiongozWakuu msaada kidogo, Niko na plan ya kufungua BIASHARA yaangu ya nguo but kitu nakwama ni jinsi ya kupata supplier china.
KWA EXPERIENCED NAOMBA MSAADA KIDOGO HAPA
Weka hapa tunifaike wote.Ni Pm nikupe direction kiongoz
Nauli to Ghangzou na return bei ganKama unamtaji nenda ghanghzou mwenyewe kutembea kule kuna waafrica unamlipa dola mia anaakuonesha masapplier wa kutosha.bongo kubaniana na kukulanaa cha juu wanaaokuita wanakulengesha kwa washjaji zao wakule percent utachelewa shaati la dola 3 utaanunua 5 .ukienda kule utagundua mwenyewe na kuna watanzania kibao kazi yao kukuonesha machimbo tu