Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Ndugu zangu wana JF ninahitaji Msaada kwenu ninashindwa nianzie wapi lakini nataka kujitoa kwenye mahusiano ambayo penzi lake limefikia Kokomo kwani mpenzi wangu nimpendaye
1. Ameshapoteza interest na Mimi Licha ya mimi bado nampenda
2. Hatua tuliofikia mimi na mpenzi wangu nimeshaona hawezi kubadilika tena kwani vitu anavyonifanyia hivi sasa vinaonesha Hana love tena na mimi
3. Kwa sasa nimekuwa nikipitia maumivu makali sana moyoni nashindwa kufanya kazi zangu visa ninavyofanyiwa imefika hatua naona ni bora yaishe kila mtu aendelee na maisha ila moyoni bado nashindwa nianzaje kwani
Nataka nimtoe kabisa moyoni wangu asiwepo, pia nataka huyu mtu nimesahau kabisa, ule moyo wa kumpapatikia usiwepo tena, hata nisipowasiliana wala kuongea nae moyo wangu uwe na Amani
Nafanya haya yote baada kuona sasa penzi la mwenzangu Kwangu limeshakufa Hana tena hisia wala love na mimi
1. Ameshapoteza interest na Mimi Licha ya mimi bado nampenda
2. Hatua tuliofikia mimi na mpenzi wangu nimeshaona hawezi kubadilika tena kwani vitu anavyonifanyia hivi sasa vinaonesha Hana love tena na mimi
3. Kwa sasa nimekuwa nikipitia maumivu makali sana moyoni nashindwa kufanya kazi zangu visa ninavyofanyiwa imefika hatua naona ni bora yaishe kila mtu aendelee na maisha ila moyoni bado nashindwa nianzaje kwani
Nataka nimtoe kabisa moyoni wangu asiwepo, pia nataka huyu mtu nimesahau kabisa, ule moyo wa kumpapatikia usiwepo tena, hata nisipowasiliana wala kuongea nae moyo wangu uwe na Amani
Nafanya haya yote baada kuona sasa penzi la mwenzangu Kwangu limeshakufa Hana tena hisia wala love na mimi