Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,430
- 5,572
πππ Ulivamia tangazo mkuu, basi Jana tangazo lilivyotoka tu watu walibase pale kwenye bold. Wakasurrender wenyewe, safari hii hakuna janjajanjaSikua nimeona hicho kipengele cha kuomba nafasi moja tu
Nifurahi nini mkuu(Siwezi kufurahia majanga kama haya), Ila kikubwa nakusisitiza kuwa faanya juu chini hiyo post 1 ufute. Yaan kwa kuwa safari hii washasema kuwa Omba nafasi moja basi inatakiwa kufanya hvyohvyo(kazi zote za nyuma zilizopita hawakuwahi kuweka recommendation Kama hii Ila kwasasa kuwa makini nayo)Kwa hiyo umefurahii?
Mm mbona niliombaga zote zile zilizopita Custom na Tax Officer wakakata Custom wakaandika kabisa haujakuwa shortlist sababu umekuwa shortlist ktk Tax officerSkia mkuu, asije mtu akakufariji kuhusu hili, you know utumishi wako very serious na mambo Yao kama tangazo lishasema kuwa Omba nafasi moja hata kama umequalify zote basi fanya hvyo kwa maana hizo nafasi zote ziko taasisi zmoja, kitendo Cha kuomba nafasi zote utakuwa umeenda against na sheria zao na utakuwa umejidisqualify.. hapo fanya Kila namna ubaki on one position.
Narudia tena utumishi si watu wa mchezomchezo.
Halafu mkuu kwa nn umeomba zote Hali ya kuwa wameshatangaza mtu aombe moja tu.. huoni kama umejitekenya mwenyewe, na ubaya wa portal Yao ukiomba zote hata haikatai Ila kwenye shortlisted utakiona Cha mtemakuni.
Hata usipocertify vyeti unaweza kutuma maombi freshy tu ila kwenye shortlisted....
Hujaelewa,lile tangazo lililopita hawakusema usiombe nafasi mbili ila this time wamesema mapema kabisa.Mm mbona niliombaga zote zile zilizopita Custom na Tax Officer wakakata Custom wakaandika kabisa haujakuwa shortlist sababu umekuwa shortlist ktk Tax officer
Duuu Aisee km ni hivo watafute tuuHujaelewa,lile tangazo lililopita hawakusema usiombe nafasi mbili ila this time wamesema mapema kabisa.
πππtalaka ya malaya ni makofi
Hizo mkuu usipige utajisumbua, pia watu wa Utumishi wanapita humo kimyakimya Ila huwezi wajua kama upo karibu na ofisi zao Dom ingekuwa poa kama ungewaendea palepaleMwenye number ya mtu wa utumishi anisaidie please. Maana number zao za ofisin ni kama urembo tu,ukipiga hazipokelewi.
Niko mbali nao mkuu.sema nimeamua kuacha kama ilivyo,wataamua wenyewe watavyoniadhibu.Hizo mkuu usipige utajisumbua, pia watu wa Utumishi wanapita humo kimyakimya Ila huwezi wajua kama upo karibu na ofisi zao Dom ingekuwa poa kama ungewaendea palepale
Duuuh, Aseeh case kweli ni kubwa Ila kwa awamu hii Niko na mashaka nao sana,, kwa kuwa wameongelea hii issue Zile nafasi zilizopita hawakuweka hiki kipengele naona Kuna adha wameipata ndo maana now wameamua kucommand namna hii.Niko mbali nao mkuu.sema nimeamua kuacha kama ilivyo,wataamua wenyewe watavyoniadhibu.
Sema portal yao haiko friendly,ilitakiwa kuwe na option ya kucancell application.Duuuh, Aseeh case kweli ni kubwa Ila kwa awamu hii Niko na mashaka nao sana,, kwa kuwa wameongelea hii issue Zile nafasi zilizopita hawakuweka hiki kipengele naona Kuna adha wameipata ndo maana now wameamua kucommand namna hii.
Acha uoga mkuu,nenda kwenye application zako delete barua na moja kwa moja application itapotea,me nishafanyaga hivyo na ikakubali,fanya hivyo alafu Rudi kwenye my application hutoikutaSema portal yao haiko friendly,ilitakiwa kuwe na option ya kucancell application.
Pale hakuna sehemu ya kudelete mkuu.we ulifanyaje?Acha uoga mkuu,nenda kwenye application zako delete barua na moja kwa moja application itapotea,me nishafanyaga hivyo na ikakubali,fanya hivyo alafu Rudi kwenye my application hutoikuta
Utumishi si ukisema zile pepa zao hua hawasaishi,wanakua na watu wao tayari.Sasa una apply ili iweje?Au umeshapata Godfather huko?Pale hakuna sehemu ya kudelete mkuu.we ulifanyaje?