Gidyflexy
New Member
- Nov 28, 2015
- 2
- 1
Kimsingi Zitto ni mtu anayezingatia zaidi maslahi yake binafisi.
Maslahi binafisi ya Zitto yapo katika makundi mawili.
1. Maslahi binafisi ya kimasilahi(vyeo ama ulaji. HAPA NDIPO HUWATOSA WAPINZANI WENZAKE).
2. Maslahi binafisi ya kisiasa.(HAPA HUUNGANA NA WAPINZANI KATIKA KULINDA POLITICAL STABILITY YAKE).
1. Kitendo cha Zitto leo kutotoka nje nakiona kuwa ni njia ileile ya kulinda maslahi yake ya kiuongozi ama vyeo. Kwa kete hii ataitumia kupata kura nyingi za wabunge wa CCM katika nafasi nyeti ya kamati ya bunge aliyokuwa anaiongoza ama vinginevyo.
anajua kuwa anahitaji kupata kura za wana CCM na hii ndio namna pekee ya kuzipata kwa kuonekana hajamsusia Magufuli katika kupigania haki ya Wazanzibar na hivyo kuwakonga nyoyo wana CCM.
mbinu hii si mpya kuwahi kutumiwa na Zitto kuzipata kura za wana CCM ama uungwaji mkono wa wana CCM bungeni. mtakumbuka wakati wa bunge la 10 Zitto alifanya hivyohivyo mwanzoni mwa Bunge la 10 kwa kujitenga na chama chake chadema wakati ule kwa karibu kila jambo na alifanikiwa kupata nafasi ya kuwa mwenyekiti wa moja ya kamati na wengine waliofanikiwa kupata vyeo hivyo ni wale tu waliokuwa mawakala wa CCM ambao ni John Cheyo na Augustine Mrema kwa wakati huo. ikumbukwe kuwa nafasi hizo tatu za upinzani zilitakiwa kutolewa kwa Kambi rasmi ya upinzani lakini danadana zikachezwa na kubadilisha na kuwafanya hadi kina Mrema na Cheyo kupata.!!
mfano mwingine mzuri ni mwaka 2010..... Chadema walivyotoka nje kususia hotuba ya Kikwete na walivyokataa kutambua ushindi wa Kikwete Zitto alibaki bungeni!!Angalia ulikuwa muda gani wakati Zitto anafanya hivi, huu ulikuwa muda kuelekea kwenda kupata vyeo vipya vya bungeni( he sided with CCM to win out CCM MPS and he won them).
kwa maslahi ya namna hii ya kutaka vyeo Zitto lazima atakuwa upande wa kutowakwaza CCM ili ajihakikishie kuungwa mkono na wana CCM kwa kuwa wapo wengi.
2. Maslahi ya kisiasa.
Katika maslahi ya kisiasa Zitto hutumia njia hii kuungana na wapinzani na kuwakana CCM.
Kwa nini Zitto hufanya hivi? Zitto hufanya hivi katika kuhakikisha kuwa analinda nguvu yake ya kisiasa na mara nyingi huja kusimama na wapinzani hasa katika mambo ambayo yanakuwa yameteka siasa za Nchi. Inaweza kuwa skendo kubwa kubwa za kifisadi kama ambavyo amekuwa akifanya ama mambo ya migogoro ya viongozi wa kiserikali.
Mfano mzuri ni pale UKAWA waliopotoka nje na kulisusia bunge la katiba na wakaapa kutorejea na hawakurejea bungeni wakabaki kina Mrema na Cheyo, Zitto naye aligomea bunge na hakurudi kama UKAWA. angalia muda(timing). Hapa muda wa bunge ulikuwa unaelekea kwenye ukomo na Zitto alihitaji kulinda nguvu yake ya kisiasa hasa kwa wananchi kwa kuwa ndio wangempigia kura and he won peoples votes, ingekuwa mwanzo mwa bunge wakati wa kutafuta vyeo asingegoma kushiriki lile bunge la katiba.
Kwa namna hii watu wamekuwa wakimchanganya na kushindwa kumwelewa zitto hasa yupo upande gani? Mostly many are not sure which side will Zitto stand, na ndio maana hata alipohojiwa na TBC pale nje ya bunge kuhusu wapinzani kutoka nje alisema "Wametumia haki yao ya kidemokrasia kuonesha protest, haya ni mambo ya kawaida mno kuna nchi zngne wabunge hurushiana ngumi kabisa,kwahyo wako sahihi mana hakukuwa na namna nyngne baada ya barua yao kutotolewa maelezo,na walitii amri ya spika kuwataka watoke nje"
Kama umeelewa niliyoandika jaribu kuchunguza na utabaini..
Maslahi binafisi ya Zitto yapo katika makundi mawili.
1. Maslahi binafisi ya kimasilahi(vyeo ama ulaji. HAPA NDIPO HUWATOSA WAPINZANI WENZAKE).
2. Maslahi binafisi ya kisiasa.(HAPA HUUNGANA NA WAPINZANI KATIKA KULINDA POLITICAL STABILITY YAKE).
1. Kitendo cha Zitto leo kutotoka nje nakiona kuwa ni njia ileile ya kulinda maslahi yake ya kiuongozi ama vyeo. Kwa kete hii ataitumia kupata kura nyingi za wabunge wa CCM katika nafasi nyeti ya kamati ya bunge aliyokuwa anaiongoza ama vinginevyo.
anajua kuwa anahitaji kupata kura za wana CCM na hii ndio namna pekee ya kuzipata kwa kuonekana hajamsusia Magufuli katika kupigania haki ya Wazanzibar na hivyo kuwakonga nyoyo wana CCM.
mbinu hii si mpya kuwahi kutumiwa na Zitto kuzipata kura za wana CCM ama uungwaji mkono wa wana CCM bungeni. mtakumbuka wakati wa bunge la 10 Zitto alifanya hivyohivyo mwanzoni mwa Bunge la 10 kwa kujitenga na chama chake chadema wakati ule kwa karibu kila jambo na alifanikiwa kupata nafasi ya kuwa mwenyekiti wa moja ya kamati na wengine waliofanikiwa kupata vyeo hivyo ni wale tu waliokuwa mawakala wa CCM ambao ni John Cheyo na Augustine Mrema kwa wakati huo. ikumbukwe kuwa nafasi hizo tatu za upinzani zilitakiwa kutolewa kwa Kambi rasmi ya upinzani lakini danadana zikachezwa na kubadilisha na kuwafanya hadi kina Mrema na Cheyo kupata.!!
mfano mwingine mzuri ni mwaka 2010..... Chadema walivyotoka nje kususia hotuba ya Kikwete na walivyokataa kutambua ushindi wa Kikwete Zitto alibaki bungeni!!Angalia ulikuwa muda gani wakati Zitto anafanya hivi, huu ulikuwa muda kuelekea kwenda kupata vyeo vipya vya bungeni( he sided with CCM to win out CCM MPS and he won them).
kwa maslahi ya namna hii ya kutaka vyeo Zitto lazima atakuwa upande wa kutowakwaza CCM ili ajihakikishie kuungwa mkono na wana CCM kwa kuwa wapo wengi.
2. Maslahi ya kisiasa.
Katika maslahi ya kisiasa Zitto hutumia njia hii kuungana na wapinzani na kuwakana CCM.
Kwa nini Zitto hufanya hivi? Zitto hufanya hivi katika kuhakikisha kuwa analinda nguvu yake ya kisiasa na mara nyingi huja kusimama na wapinzani hasa katika mambo ambayo yanakuwa yameteka siasa za Nchi. Inaweza kuwa skendo kubwa kubwa za kifisadi kama ambavyo amekuwa akifanya ama mambo ya migogoro ya viongozi wa kiserikali.
Mfano mzuri ni pale UKAWA waliopotoka nje na kulisusia bunge la katiba na wakaapa kutorejea na hawakurejea bungeni wakabaki kina Mrema na Cheyo, Zitto naye aligomea bunge na hakurudi kama UKAWA. angalia muda(timing). Hapa muda wa bunge ulikuwa unaelekea kwenye ukomo na Zitto alihitaji kulinda nguvu yake ya kisiasa hasa kwa wananchi kwa kuwa ndio wangempigia kura and he won peoples votes, ingekuwa mwanzo mwa bunge wakati wa kutafuta vyeo asingegoma kushiriki lile bunge la katiba.
Kwa namna hii watu wamekuwa wakimchanganya na kushindwa kumwelewa zitto hasa yupo upande gani? Mostly many are not sure which side will Zitto stand, na ndio maana hata alipohojiwa na TBC pale nje ya bunge kuhusu wapinzani kutoka nje alisema "Wametumia haki yao ya kidemokrasia kuonesha protest, haya ni mambo ya kawaida mno kuna nchi zngne wabunge hurushiana ngumi kabisa,kwahyo wako sahihi mana hakukuwa na namna nyngne baada ya barua yao kutotolewa maelezo,na walitii amri ya spika kuwataka watoke nje"
Kama umeelewa niliyoandika jaribu kuchunguza na utabaini..