Hapana ndiomaana sikusema laki 3 wala laki 4 nimesema laki 2.5 Na ata akitokea Wa laki 2 nampa kwasababu naitoa hivi naipenda sana Na haina tatizo lolote yaani hii simu nipo sahihi kabisa nahiyo hela pia japo wakati nanunua nilinunua laki 3 Na nusu nasijaitumia sana sina jinsi bado nahamu nayo
Pia sio mbaya ukieleza angalau uwezo wa Simu ili kumshawishi mteja/ Mkopeshaji ili akukopeshe au ainunue kwa being nzuri, Sio wote tunaojua Aina za Simu na uwezo wake na ubora wa Simu hiyo