Naweka bondi sim

Kwa mfano ukashndwa kulipa io hela thaman ya cm hailingan na pesa..... Yan utakuwa umemuuzia cm io kwa lak 2.5

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ndiomaana sikusema laki 3 wala laki 4 nimesema laki 2.5 Na ata akitokea Wa laki 2 nampa kwasababu naitoa hivi naipenda sana Na haina tatizo lolote yaani hii simu nipo sahihi kabisa nahiyo hela pia japo wakati nanunua nilinunua laki 3 Na nusu nasijaitumia sana sina jinsi bado nahamu nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simu inamuda gani tangu uinunue? Listi Yake unayo? Unaweka bondi kwa muda gani? We we unapatikana wapi? UNGETURAHISISHIA KWA KUWEKA HIZO DETAIL.
 
Pia sio mbaya ukieleza angalau uwezo wa Simu ili kumshawishi mteja/ Mkopeshaji ili akukopeshe au ainunue kwa being nzuri, Sio wote tunaojua Aina za Simu na uwezo wake na ubora wa Simu hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…