bombu JF-Expert Member Jun 8, 2011 1,127 542 May 7, 2012 #21 kuna bi arusi alienda msalani, kumbe kaenda kumpigia simu koloni lake la zamani baada ya kumuona ukumbini, lol
kuna bi arusi alienda msalani, kumbe kaenda kumpigia simu koloni lake la zamani baada ya kumuona ukumbini, lol
B'REAL JF-Expert Member Oct 20, 2010 4,279 2,733 May 7, 2012 Thread starter #22 apo ndo ndoa inapoazaa kuwachugu kabla hata hamjaingia hani muni,kwanzaa wanaruhusiwaa kuingia na simu bombu said: kuna bi arusi alienda msalani, kumbe kaenda kumpigia simu koloni lake la zamani baada ya kumuona ukumbini, lol Click to expand...
apo ndo ndoa inapoazaa kuwachugu kabla hata hamjaingia hani muni,kwanzaa wanaruhusiwaa kuingia na simu bombu said: kuna bi arusi alienda msalani, kumbe kaenda kumpigia simu koloni lake la zamani baada ya kumuona ukumbini, lol Click to expand...