Second Lieutenant
Senior Member
- Jan 13, 2014
- 143
- 26
Habari wadau,
Mimi ni kijana ambaye nilimpa msichana mmoja mimba ambaye tayari alishakuwa na mtoto but mumewe alishakufaga, Now naishi na huyu msichana but nashindwa kumwambia amlete mtoto wake niishi naye coz familia yangu haijui kama huyu msichana ana mtoto, dispite her differences but nimeamua kuishi naye.
Je ni muda mwafaka wa kuishi na mtoto wake au ampeleke kwa mama yake mzazi anipe nafasi kumlea yeye na ujauzito wake.
Nisaidieni wandugu.
Mimi ni kijana ambaye nilimpa msichana mmoja mimba ambaye tayari alishakuwa na mtoto but mumewe alishakufaga, Now naishi na huyu msichana but nashindwa kumwambia amlete mtoto wake niishi naye coz familia yangu haijui kama huyu msichana ana mtoto, dispite her differences but nimeamua kuishi naye.
Je ni muda mwafaka wa kuishi na mtoto wake au ampeleke kwa mama yake mzazi anipe nafasi kumlea yeye na ujauzito wake.
Nisaidieni wandugu.