Wadau wote bila kubagua dini, kabila ama rangi, mafisadi, walio jivua gamba, wote nawatakia pasaka njema! Msherehekee vizur na familia zenu, msinywe kupita kiasi, muwe makin barabaran, msisahau kumwomba Mungu na kumshukurua pia. Hata mafisadi nao muwaombe kwa Mungu, mei b one day wataturudia japo kidogo. Mi asubuhi church nikitoka church home, jion nitakuwa mitaa ya london pub, ubungo- xternal karibun. Happy easter 2 all.