Nawashangaa Magufuli na Mwakyembe. Anzeni na kesi hizi kwenye mahakama ya mafisadi

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
16,288
33,947
Kusema kweli naanza kuwa na was was na kama kweli mahakama ya mafisadi IPO au tulidanganywa? Kuna nia kweli au ni siasa? Kesi zipo hapa hebu anza na hizi,

1.Richmond hasara ya 350 billions

Kashfa hii inamuhusisha waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa, ambaye kustaafu kwake kumelazimishwa kutokana na kashfa hii. Hii ndo kashfa iliyoshika nafasi ya juu kwa kuwa imeangusha mpaka serikali husika.
Muhusika: Edward lowassa

2.ESCROW hii ni kashfa iliyoshirikisha watu viongozi mbali mbali na mapadree, 300 billions, hii kashfa ina kutokueleweka ndani mwake maana kila taasisi ilitoa Maelezo tofauti
IKULU: Pesa za ESCROW si za serikali.
BUNGE: CCM wanasema si za serikali, CHADEMA wanasema kuna ambazo ni za wananchi/serikali.
MKAGUZI MKUU: Hajui jibu sahihi alimalizia kwakusema zinaweza kuwa au zisiwe za wananchi

Wahusika: Askofu kilaini, Tibaijuka, Chenge, Ngereje, na wengine

3. Lugumi : hii imetikisa sana na bado hatujajua itaisha vipi na wahusika wakuu ni LUGUMI na washirika wake,

Wahusika :Mzee lugumi na wenzake

4. EPA, hii imeshika nafasi ya nne , wahusika walirejesha hela kimya kimya bila hata kujua ni kina nan,

Wahusika : Patel family

5. Upotevu wa makontena bandarini ,

Wahusika: masamaki tiaghi na wenzake

6.KAGODA, hii kashfa imetokea wakati wa uongozi wa mzee MKAPA lakin inadhaniwa kuwa imeisha kimya kimya,

Wahusika: serikali ya mzee mkapa,

7. NHC, uuzwaji wa nyumba za serikali miaka ya 1996 ambaye alihusika ni waziri mkuu ambaye alishirikiana na wahusika kukamilisha suala ilo,

Wahusika:Waziri mkuu Frederick sumaye na waziri husika

8. SUKARI sakata ili lilinuhusisha bwana IDDI SIMBA ,Sukari kutoka nje tani za kutosha zilikwapuliwa kipindi hicho

Muhusika: mzee IDD simba

9. UCHOMAJI WA BENKI KUU NA KUPORA , suala Ili wahusika wanajulikana na huwa hawatajwi sana sana,

Wahusika :Konom mrodin na ginadre ngime

10. ATCL, sakata la ATCL na ununuzi wa vifaa hewa , ukarabati hewa wa ndege na wafanyakazi hewa ,

Wahusika:Mkurugenzi na mawaziri wa uchukukuzi

11. MEREMETA,

Wahusika : serikali awamu ya tatu

12. AICC ARUSHA

Mhusika :Edward lowassa anapaswa kujibu,

13. UUZWAJI WA VIWANJA VYA SERIKALI KINYUME,

Muhusika:Waziri wa ardh awamu ya tatu, edward lowassa

14. UKWAPUAJI WA RANCHI ZA SERIKALI

Mhusika:Edward lowassa

15. UKWAPUAJI WA HELA ZA MRADI WA MAJI,

Mhusika : edward lowassa aeleze alikuwa na dhamana

16. MAJENGO PACHA YA B.O.T BY LIYUMBA

Mhusika: amatusi liyumba marehem na yona

17. MAJENGO YA UVCCM Mizengwe katika ujenzi,

Waziri mkuu wa kwanza katika awamu ya NNE, na mwenyekiti wa uvccm

18. UNUNUZI WA MVUA YA THAILAND

Mhusika: edward lowassa anapaswa kueleza Vema,

19. UNUNUZI WA MAGARI MABOVU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
Mhusika: freeman mbowe

20. UTOROSHAJI WA TWIGA KWENYE NDEGE,
Mhusika , serikali ya awamu ya nne

21. UNUNUZI WA RADA,
Mhusika: Andrew chenge na mramba,

22. NDEGE MBOVU YA RAIS,
mhusika:Basil pesa 2

23. MELI MBOVU YA B/MOYO

Mhusika: mkurugenzi wa TEMESA na idara ya manunuzi.

24. UKARABATI WA NYUMBA YA UBALOZI KWA MABILION YA HELA , KWA UDANGANYIFU,
Mhusika:Waziri wa mambo ya nje awamu ya tatu

25. WIZI WA B.O.T. 1998

Hapa alikuwa Mzee balali R.I.P na wasaidizi wake watapaswa kujibu,

26. UUZWAJI WA MAGARI YA SERIKALI KINYEMELA
Wahusika: wakurugenzi mashirika ya UMMA

27. LOAN BOARD , mikopo hewa
Wahusika:Mkurugenzi na wahusika wengine,

28. UDA , ushahidi wa kutosha upo na Simon group wamehusika sana

Mhusika: simon group na KIKWETE junior wanapaswa kutueleza

29. NIDA , hapa vitambulisho vya taifa ,serikali imepata hasara kubww sana,

Wahusika:Bernad m, na mkurugenzi wa NIDA wana cha kueleza mahakama,

30. ARV's fake, hii alipotiwe na kushtakiwa kwa kudanganya serikali na kuua watu kwa udanganyifu,

Mwanachama maarufu wa CCM na familia yake wanamajibu

31. NPS, national parking service , hapa pia kuna ufisadi mkubwa sana,
Mhusika Wa kujibu: kingunge mwiru

32.Meli yenye meno ya tembo iliyokamatwa ughaibuni..

Mhusika:Waziri wa Mali asili Nyarandu na mkurugenzi bandari wanapaswa kujibu

Tanzania ina kesi nyingi sana zinazohusiana na uchafu wa ufisadi, hebu nawe ongezea nyingine...
Nb usimtaje muhusika bila kuwa na ushahidi maana unaweza kuvuruga ratiba ya mahakama ya mafisadi badala ya mafisadi wakakusaka we mchochezi kwanza..
 
Kusema kweli naanza kuwa na was was na kama kweli mahakama ya mafisadi IPO au tulidanganywa? Kuna nia kweli au ni siasa? Kesi zipo hapa hebu anza na hizi,

1.Richmond hasara ya 350 billions

Kashfa hii inamuhusisha waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa, ambaye kustaafu kwake kumelazimishwa kutokana na kashfa hii. Hii ndo kashfa iliyoshika nafasi ya juu kwa kuwa imeangusha mpaka serikali husika.
Muhusika: Edward lowassa

2.ESCROW hii ni kashfa iliyoshirikisha watu viongozi mbali mbali na mapadree, 300 billions, hii kashfa ina kutokueleweka ndani mwake maana kila taasisi ilitoa Maelezo tofauti
IKULU: Pesa za ESCROW si za serikali.
BUNGE: CCM wanasema si za serikali, CHADEMA wanasema kuna ambazo ni za wananchi/serikali.
MKAGUZI MKUU: Hajui jibu sahihi alimalizia kwakusema zinaweza kuwa au zisiwe za wananchi

Wahusika: Askofu kilaini, Tibaijuka, Chenge, Ngereje, na wengine

3. Lugumi : hii imetikisa sana na bado hatujajua itaisha vipi na wahusika wakuu ni LUGUMI na washirika wake,

Wahusika :Mzee lugumi na wenzake

4. EPA, hii imeshika nafasi ya nne , wahusika walirejesha hela kimya kimya bila hata kujua ni kina nan,

Wahusika : Patel family

5. Upotevu wa makontena bandarini ,

Wahusika: masamaki tiaghi na wenzake

6.KAGODA, hii kashfa imetokea wakati wa uongozi wa mzee MKAPA lakin inadhaniwa kuwa imeisha kimya kimya,

Wahusika: serikali ya mzee mkapa,

7. NHC, uuzwaji wa nyumba za serikali miaka ya 1996 ambaye alihusika ni waziri mkuu ambaye alishirikiana na wahusika kukamilisha suala ilo,

Wahusika:Waziri mkuu Frederick sumaye na waziri husika

8. SUKARI sakata ili lilinuhusisha bwana IDDI SIMBA ,Sukari kutoka nje tani za kutosha zilikwapuliwa kipindi hicho

Muhusika: mzee IDD simba

9. UCHOMAJI WA BENKI KUU NA KUPORA , suala Ili wahusika wanajulikana na huwa hawatajwi sana sana,

Wahusika :Konom mrodin na ginadre ngime

10. ATCL, sakata la ATCL na ununuzi wa vifaa hewa , ukarabati hewa wa ndege na wafanyakazi hewa ,

Wahusika:Mkurugenzi na mawaziri wa uchukukuzi

11. MEREMETA,

Wahusika : serikali awamu ya tatu

12. AICC ARUSHA

Mhusika :Edward lowassa anapaswa kujibu,

13. UUZWAJI WA VIWANJA VYA SERIKALI KINYUME,

Muhusika:Waziri wa ardh awamu ya tatu, edward lowassa

14. UKWAPUAJI WA RANCHI ZA SERIKALI

Mhusika:Edward lowassa

15. UKWAPUAJI WA HELA ZA MRADI WA MAJI,

Mhusika : edward lowassa aeleze alikuwa na dhamana

16. MAJENGO PACHA YA B.O.T BY LIYUMBA

Mhusika: amatusi liyumba marehem na yona

17. MAJENGO YA UVCCM Mizengwe katika ujenzi,

Waziri mkuu wa kwanza katika awamu ya NNE, na mwenyekiti wa uvccm

18. UNUNUZI WA MVUA YA THAILAND

Mhusika: edward lowassa anapaswa kueleza Vema,

19. UNUNUZI WA MAGARI MABOVU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
Mhusika: freeman mbowe

20. UTOROSHAJI WA TWIGA KWENYE NDEGE,
Mhusika , serikali ya awamu ya nne

21. UNUNUZI WA RADA,
Mhusika: Andrew chenge na mramba,

22. NDEGE MBOVU YA RAIS,
mhusika:Basil pesa 2

23. MELI MBOVU YA B/MOYO

Mhusika: mkurugenzi wa TEMESA na idara ya manunuzi.

24. UKARABATI WA NYUMBA YA UBALOZI KWA MABILION YA HELA , KWA UDANGANYIFU,
Mhusika:Waziri wa mambo ya nje awamu ya tatu

25. WIZI WA B.O.T. 1998

Hapa alikuwa Mzee balali R.I.P na wasaidizi wake watapaswa kujibu,

26. UUZWAJI WA MAGARI YA SERIKALI KINYEMELA
Wahusika: wakurugenzi mashirika ya UMMA

27. LOAN BOARD , mikopo hewa
Wahusika:Mkurugenzi na wahusika wengine,

28. UDA , ushahidi wa kutosha upo na Simon group wamehusika sana

Mhusika: simon group na KIKWETE junior wanapaswa kutueleza

29. NIDA , hapa vitambulisho vya taifa ,serikali imepata hasara kubww sana,

Wahusika:Bernad m, na mkurugenzi wa NIDA wana cha kueleza mahakama,

30. ARV's fake, hii alipotiwe na kushtakiwa kwa kudanganya serikali na kuua watu kwa udanganyifu,

Mwanachama maarufu wa CCM na familia yake wanamajibu

31. NPS, national parking service , hapa pia kuna ufisadi mkubwa sana,
Mhusika Wa kujibu: kingunge mwiru

32.Meli yenye meno ya tembo iliyokamatwa ughaibuni..

Mhusika:Waziri wa Mali asili Nyarandu na mkurugenzi bandari wanapaswa kujibu

Tanzania ina kesi nyingi sana zinazohusiana na uchafu wa ufisadi, hebu nawe ongezea nyingine...
Nb usimtaje muhusika bila kuwa na ushahidi maana unaweza kuvuruga ratiba ya mahakama ya mafisadi badala ya mafisadi wakakusaka we mchochezi kwanza..
Mkuu mbona no 3, 7 na 23 unakwepa kutaja mheshimiwa kwa namna moja au nyingine amehusika.ukileta uzi taja jina lake kama unavyowataja wengine.Au unataka tuanze kumtaja kashfa zake ili tena Max waanze kumsumbua,ngoja tumpe punzi max wakati tunajiandaa kuleta orodha ya nyumba zilozotolewa kwa nyumba ndogo zao na watoto wa kufikia
 
Mimi nadhani kwa kuanzia na hizo ulizo taja kwa kuwa ushahidi unao hebu jumatatu asubuhi sana wahi mahala husika ukafungue kesi wakati hizi zingine na sisi tunaendelea kutafuta ushahidi.
 
Kuna threads nyingine zikianzishwa as if ni kuku anakimbia huku kakatwa kichwa.
Au kitimoto amekoswakoswa na shoka.
 
Mkuu mbona no 3, 7 na 23 unakwepa kutaja mheshimiwa kwa namna moja au nyingine amehusika.ukileta uzi taja jina lake kama unavyowataja wengine.Au unataka tuanze kumtaja kashfa zake ili tena Max waanze kumsumbua,ngoja tumpe punzi max wakati tunajiandaa kuleta orodha ya nyumba zilozotolewa kwa nyumba ndogo zao na watoto wa kufikia
Unasemaje
 
Mkuu mbona no 3, 7 na 23 unakwepa kutaja mheshimiwa kwa namna moja au nyingine amehusika.ukileta uzi taja jina lake kama unavyowataja wengine.Au unataka tuanze kumtaja kashfa zake ili tena Max waanze kumsumbua,ngoja tumpe punzi max wakati tunajiandaa kuleta orodha ya nyumba zilozotolewa kwa nyumba ndogo zao na watoto wa kufikia
Namba hizo 3, 7 na 23 zimo kwenye wimbo wa hamza kaamka uitwao Baba Jeni bai bai.. Kasimbagho khabhuka...
 
Ningekuelewa kuwa umesimamia ukweli kama ungemtaja mhusika wa kweli wa ununuzi wa meli mbovu ya Bagamoyo, uuzaji wa nyumba za serikali(NHC), wizi wa EPA, ujenzi wa barabara zilizo chini ya kiwango,na wahusika wa escrow waliobeba ela kwenye rambo stanbic
 
Back
Top Bottom