Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,561
- 16,339
_*Nawasalimia
MADEM
wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_
_*Nawasalimia MADEM weupe
mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*_
_*Nawasalimia MADEM Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano
P,K,O,S!! Nakaribia KUOA,*_
_*Nawasalimia MADEM wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI

Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*_
_*Nawasalimia MADEM ambao ukiwatongoza wakakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanaweka foleni inbox Kukuuliza huyo nani,*_
_*Nawasalimia MADEM wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani


*_
_*Nawasalimia wale MADEM nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo
Tumeachana
Niwaambie SICHUNIKI,*_
_*Nawasalimia wale MADEM wazuri mpaka naogopa kuwafata INBOX nabakia kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI


*_
_*Nawasalimia Wale MADEM Tunao chuniana MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua

PLEASE NIPENI BREAK,*_
_*Nawasalimia MADEM Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza PAPA, Salamu Ziwafikie

*_
_*Nawasalimia wale MADEM mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI

*_
_*Nawasalimia Wale MADEM nilio watongoza MTANDAONI nampaka sasa tunaitana Honey Ila HATUJUANI

*_
_*Nawasalimia wale MADEM woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_



_*Nawasalimia wale MADEM ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI


Muoneni Ras Simba*_
_*Nawasalimia Wale MADEM wanao post PICHA NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI


*_
_*Nawasalimia wale MADEM mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi

WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*_
_*Nawasalimu MADEM mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*_
Nawasalim sana.
MADEM
wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*__*Nawasalimia MADEM weupe
mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*__*Nawasalimia MADEM Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano

P,K,O,S!! Nakaribia KUOA,*__*Nawasalimia MADEM wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI


Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*__*Nawasalimia MADEM ambao ukiwatongoza wakakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanaweka foleni inbox Kukuuliza huyo nani,*_
_*Nawasalimia MADEM wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani



*__*Nawasalimia wale MADEM nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo

Tumeachana
Niwaambie SICHUNIKI,*__*Nawasalimia wale MADEM wazuri mpaka naogopa kuwafata INBOX nabakia kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI



*__*Nawasalimia Wale MADEM Tunao chuniana MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua


PLEASE NIPENI BREAK,*__*Nawasalimia MADEM Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza PAPA, Salamu Ziwafikie


*__*Nawasalimia wale MADEM mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI


*__*Nawasalimia Wale MADEM nilio watongoza MTANDAONI nampaka sasa tunaitana Honey Ila HATUJUANI


*__*Nawasalimia wale MADEM woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_




_*Nawasalimia wale MADEM ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI



Muoneni Ras Simba*__*Nawasalimia Wale MADEM wanao post PICHA NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI



*__*Nawasalimia wale MADEM mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi


WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*__*Nawasalimu MADEM mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*_
Nawasalim sana.