Black African
Member
- Oct 17, 2011
- 24
- 3
Habari zenu wana jf,natumai muwazima na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila leo.Kama inavyotakikana kila siku mtu afikirie ni nini afannye ili kipato chake kiongezeke,hivyo,hata mm nimefikiria kuanzisha biashara ya kuuza vocha kupitia cm ya mkononi/kwa njia ya kuwarushia salio,ninachokitaka ni mazingira yepi yatafaa zaidii?,nitumie mtindo upi ili wateja wanifahamu kama nauza salio?jinsi ya kuanzisha hiyo biashara pmj na changamoto zitakazoweza kujitokeza.Nawasilisha kwenu,naomba kila mmoja atumie uelewa wake ktk hili,asanteni.