Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
- Thread starter
- #21
Masikini hii ni sawa na wale wanaume wanaorubuni bila kusema kama wameoa au la! Pole sana Mentor ingawa limemkuta kaka yako naamini nawe pia limeitikisa imani yako juu ya mapenzi na ndoa pia. Maana kama mke wa ndoa anawezakudanganya hajaolewa wewe utapata wapi moyo kuwa mkeo wewe hatofanya hivyo?Jamani hv wanajamii hakuna researches zinazoweza kufanyika kwenye taasis hii angalau kuangalia trends za cheating, historical development, perceptions e.t.c pengine tunawezadevelop some indicators au causes za mvurugano huu!
Haswaa hilo ndilo lilinonisukuma mpaka kuandika shairi hili. Nilikuwa natafakari juu ya hadithi ya kaka...been worried with the rate of disappointing stories from friends around me. Sijui kama ntapenda kweli...inawezekana kumpenda mtu with all your heart tena? Maana kila utayekutana naye..mzuri wa nje..kumbe ndani!!!!
Inauma...lakini....