VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Naiunga mkono CCM na serikali zake kushindwa kuongoza nchi na kuvunja Muungano. Nawaunga mkono kwa kushindwa kuwasikiliza Wazanzibar hadi nyumba zetu za ibada zinachomwa. CCM inatisha. Haisikilizi,haiambiwi...inasonga mbele. Haiwasikilizi vijana wa Zenji. Inasubiri kuongea na wazee Karimjee. Gamba linapendeza kweli...