BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,117
- Thread starter
- #81
Naomba tuwasiliane ndugu 0718295182Bei ya jumla unauzaje mkuu?
Bei ya jumla kuanzia pisi 5
Naomba tuwasiliane ndugu 0718295182Bei ya jumla unauzaje mkuu?
Tatizo nn hasa mkuunilinunua kabla ila nilipohama ofisi nimeshindwa kuiset...so naitaji fundi wa kunisetia upya!
Tunasubiri mrejesho wao.Wakuu mliochukua camera kuweni huru kutoa mrejesho mapungufu na ubora wa bidhaa
Hizo 30k almost ni bei za memory au labda A9 cameras wastani hizi za single lensi ni 75 nakuendelea na za dual lensi Huwa ni 100k nakuendeleaKwa waagizaji hawawezi shang hiyo bei
Kabisa mkuu kamera ni muhimu sana kwa kipindi hikiTunasubiri mrejesho wao.
Nakuelewa mkuuHizo 30k almost ni bei za memory au labda A9 cameras wastani hizi za single lensi ni 75 nakuendelea na za dual lensi Huwa ni 100k nakuendelea
Bei mbn kubwa sana angalau kuagiza ali express 30k
Hapa sio Ali expressBei mbn kubwa sana angalau kuagiza ali express 30k
Acha ukorofiJibu maswal iacha maneno mengi. Umeziagiza kutoka wapi na ni brand gani?
Kama Sina router nawezaje kuona matukio?Kamera ina wifi inayojitegemea
Kinachohitajika ni kifaa kitakachoiwezesha camera kupata internet, iwe router au simu
haijalishi uko maeneo gani, kikubwa kuwe na Router yenye data
camera itawezeshwa kupata internet
na Utaweza kupata matukio ukiwa mbali kupitia apps utakayoifadhi kwenye smartphone yako
Ishu ni kuiwezesha kamera kupata access ya internet Ili iweze kutuma taarifa ukiwa mbaliKama Sina router nawezaje kuona matukio?