Nauza Westpoint air condition bei nzuri

uzeebusara

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
657
Reaction score
514
Habari zenu wakuu (IMESHAUZWA)
Nauza air condition aina ya WESTPOINT yenye maelezo kama lebo yake inavyosomeka hapo chini pamoja na picha nyingine

Imetumika kwa muda wa miezi sita tu. Na nilikuwa naitumia ofisini kwangu, haina tatizo lolote. Naiuza kwa sababu nahama jengo na sehemu niliyopata zipo air condition

Bei ni Tsh laki nne na nusu (450,000/=) maongezi yapo

Mahali inapatikana, Kurasini, Dar Es Salaam
Mawasiliano 0659 211 222.
Whatsapp vile vile napatikana katima namba hiyo hiyo


IMESHAUZWA.
 

Attachments

  • 1463233135677.jpg
    137.7 KB · Views: 67
  • 1463233326788.jpg
    137.7 KB · Views: 59
Nne na nusu mbali saana.....chukua mbili kamili tumalizane.Elecrical goods hazina guarantee
 
Habari zenu wakuu
Nauza air condition aina ya WESTPOINT yenye maelezo kama lebo yake inavyosomeka hapo chini pamoja na picha nyingine

Imetumika kwa muda wa miezi sita tu. Na nilikuwa naitumia ofisini kwangu, haina tatizo lolote. Naiuza kwa sababu nahama jengo na sehemu niliyopata zipo air condition

Bei ni Tsh laki nne na nusu (450,000/=) maongezi yapo

Mahali inapatikana, Kurasini, Dar Es Salaam
Mawasiliano 0659 211 222.
Whatsapp vile vile napatikana katima namba hiyo hiyo
View attachment 347529View attachment 347532View attachment 347536View attachment 347539

Nne na nusu mbali saana.....chukua mbili kamili tumalizane.Elecrical goods hazina guarantee
Mkuu nashukuru kwa kuonyesha nia. Pesa yako ni kubwa lakini haitoshelezi kwa bidhaa hii. Ongeza pesa, nakuuzia kitu ambacho nina uhakika nacho na mimi sio dalali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…