hiyo ni total cost unalipa serikari na jamaa anachukua kidogoFafanua,
3.5Mil ndio total cost??
Au hii nalipia vocha tu then serikalini (Tshs 8,000/m2) nalipia mwenyewe kwa hela ingine?!
kipo cha sqm 970 jamaa wanataka 14m hapo ni kila k2 . kuna sqm 2036 wanataka 25m . kuna sqm 600 anataka 4.5m hizo bei ni kwamba ktk pesa unayotoa ndiyo hiyo inalipwa selikarini na anabaki nayo mwenye vocha . hizi ni gharama za ujumlaYa 1200 ni kiasi gani?
ktk hii pesa kuna nyingine italipwa selikarini na nyingine anachukua mhusika kama faida 0657 145555hiyo ni total cost unalipa serikari na jamaa anachukua kidogo
Wakuu nina vocha za sqm 400, na 500 kwa ajiri ya njoo nikuunganishe ukalipie upate kiwanja cha . sehemu ni gezaulole kigamboni bei ni 3.5m . ukiisha lipia utaambiwa kiko sehemu gani na block gani na hati itaandikwa kwa jina lako , ( mimi ni dalali MJUMBE HAUWAWI utanipoza kidogo 0778 625039 Akiri)
na zipo za sqm 1200 na kuendelea nitakuunganisha nao .
Acha upumbavu. kama hujua uliza siyo busara kuchangia k2 usichokijua vema. vocha zote zinazotoka zimetoka kwa kufuata majina ya watu hizo vocha zililipiwa Tsh 20,000/ hakuna vocha ambayo haina jina sasa huyu mwenye vocha anapoiuza mnunuzi anambanisha vocha na mkataba wa mauziano . mnunua wa vocha analipa gharama zinazohitajika na serikali na serikali watampatia hati ambayo itakuwa na jina la mnunuzi wa vocha ambayo itaonesha namba ya uwanja na namba ya block na muda wa hiyo hati. hakuna udanganyifu wa namna yoyote na ukiona haridhishwi na mazingira ya biashara unaacha.hapo kwenye red ndipotatizo lilipo; kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
HAPO MIMI PIA NIMESHIKWA KIGUGUMIZI NIKASEMA NGOJA NIENDELEE NIONE KAMA KUNA ALIYESHTUKIA YES YOUR GREAT THINKERS KWA AKILI ZANGU NA WEWE SIO RAHISI KUIBIWA MJINI ONA WATU WANAVYOPAPATIKA HAPO JUU Jibaba Bongehapo kwenye red ndipotatizo lilipo; kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
ni kweli akiri akiri zenu zinafanana na pia inawezeka hamna chapaa tee ya nguvu , mpaka sasa watu 7 wamekamilisha biashara hayo mengine yanaweza kuwa makosa ya uandishi . nimewakubali nyie ni great thinker . na great thinker hawahitaji kumiliki aridhiHAPO MIMI PIA NIMESHIKWA KIGUGUMIZI NIKASEMA NGOJA NIENDELEE NIONE KAMA KUNA ALIYESHTUKIA YES YOUR GREAT THINKERS KWA AKILI ZANGU NA WEWE SIO RAHISI KUIBIWA MJINI ONA WATU n
WANAVYOPAPATIKA HAPO JUU Jibaba Bonge
ni kweli akiri akiri zenu zinafanana na pia inawezeka hamna chapaa tee ya nguvu , mpaka sasa watu 7 wamekamilisha biashara hayo mengine yanaweza kuwa makosa ya uandishi . nimewakubali nyie ni great thinker . na great thinker hawahitaji kumiliki aridhi[/QUOT
sigangi njaa mie nimezaliwa hapo geza naishi hapo ntazikwa hapo najua sana huo mtetemo wshike wajinga hao 7 ila angali utafungwa bure hapa jf wajanja na wasomi kibao sio kkoo ,manzese ,magomeni
hayo maeneo uliyoyataja ni kwamba hayana wasomi ? we kweli great cho...kni kweli akiri akiri zenu zinafanana na pia inawezeka hamna chapaa tee ya nguvu , mpaka sasa watu 7 wamekamilisha biashara hayo mengine yanaweza kuwa makosa ya uandishi . nimewakubali nyie ni great thinker . na great thinker hawahitaji kumiliki aridhi[/QUOT
sigangi njaa mie nimezaliwa hapo geza naishi hapo ntazikwa hapo najua sana huo mtetemo wshike wajinga hao 7 ila angali utafungwa bure hapa jf wajanja na wasomi kibao sio kkoo ,manzese ,magomeni
Tatizo umemjibu kwa kukurupuka kaka.Acha upumbavu. kama hujua uliza siyo busara kuchangia k2 usichokijua vema. vocha zote zinazotoka zimetoka kwa kufuata majina ya watu hizo vocha zililipiwa Tsh 20,000/ hakuna vocha ambayo haina jina sasa huyu mwenye vocha anapoiuza mnunuzi anambanisha vocha na mkataba wa mauziano . mnunua wa vocha analipa gharama zinazohitajika na serikali na serikali watampatia hati ambayo itakuwa na jina la mnunuzi wa vocha ambayo itaonesha namba ya uwanja na namba ya block na muda wa hiyo hati. hakuna udanganyifu wa namna yoyote na ukiona haridhishwi na mazingira ya biashara unaacha.