dbelive
Member
- Feb 27, 2014
- 26
- 3
Nauza viwanja vyenye ukubwa wa futi 55 kwa 42, vipo Nyeburu ni katikati ya Gongo la Mboto na Chanika na umbali toka barabara ya lami (main road) ni 0.7 km. Kuna umeme na huduma za kijamii, namba ya simu 0714 11 44 53.