Nauza vifaranga wa bata msumeno nabata mzinga

Nauza vifaranga wa bata msumeno nabata mzinga

Wanapatikana wapi na bei gani. Na je unao vifaranga wa kuku wa kienyeji pia?
 
--- taja bei
----wapi unapatikana
cc kitomari
 
Tangazo halijakamilika ingawa una bidhaa nzuri
 
kitomari2

umewatapeli watu humu jamvini halafu unarudi tena na Id mpya kabisa

jamani tuwe waangalifu na huyu

cc😡Poultyfarm nade tawary
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa inawezekana ndiye aliyewatapeli humu watu.Hivyo kuweni macho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom