Nauza vifaa vya ujenzi used

Nauza vifaa vya ujenzi used

Joined
Nov 20, 2013
Posts
27
Reaction score
18
Habari zenu wakuu..Nina vifaa vya ujenzi(used) nilinunua toka UK kwa ajili ya biashara ya kukodisha. Kwa bahati mbaya yule aliyekuwa asimamie biashara hiyo alitangulia mbele ya haki, hivyo niliamua kuviuza vifaa vyote.

Vifaa ambavyo nauza ni vifuatavyo:

1) Cement mixer (used from UK), bei yake
ni Tsh 4.8m mazungumzo pia yapo.

2)PLATE-COMPACTOR-HS60-WHEEL-NEW-DESIGN-MAN. Ni mpya kabisa na inatoka UK pia. Bei yake ni Tsh 2.1m na mazungumzo yapo pia.

3) Petrol concrete Vibrator (poker) machine (used from UK). Bei yake ni Tsh 850,000/= mazungumzo yapo.

4) Welding machine The Wolf Pro 250 ARC(brand new). Bei yake ni Tsh 750,000/= mazungumzo yapo pia.

Technical specification:
• Turbo fan cooled
• 60 amps-250 amps welding current range
• Fully variable power settings
• Thermal overload protection
• Operates from a 230v single phase supply
• Also operates from 400v (2 phases) supply
• Accepts welding rod diameter: 2mm-5mm
• Fully portable wheel mounted
• Weight: 23.5Kg

5) Heavy duty drill machines (used from UK). Zipo 6 na bei yake kila moja ni Tsh 720,000/= mazungumzo yapo pia.

6) Portable tool transformer (used from uk) zipo 2 na bei yake ni Tsh 300,000/= kwa moja, mazungumzo yapo pia.

Kwa ambaye atakuwa interested na vitu hivyo basi tuwasiliane zaidi kwa PM.
Karibuni.
Screenshot_2018-12-13-10-18-17.jpeg
Screenshot_2018-12-13-09-58-57.jpeg
Screenshot_2018-12-13-09-58-45.jpeg
Screenshot_2018-12-13-09-59-13-1.jpeg
Screenshot_2018-12-13-10-00-38.jpeg
 
Mi naomba unikopeshe ,niwe nakulipa kidogo kidogo ..serious mkuu
Vipi hiyo mixer ni machines take no Lister Peter au ni aina gani. Fuel no Diesel au Petrol. No vizuri hizo vifaa uweke na brand name zake including specificatiins.
 
Ikifika january hujauza mixer na poker nakuja kununua.. hujasema viko wapi..
 
Kuna jamaa kauliza engine ya mixer kama ni lister peter..

Ukipata winch ya kipandishia mizigo juu ya ghorofa nistue.. ya diseal au umeme..
 
Iyo mashine ya welding bei ya mwisho ni kiasi gani
 
Mkuu nakutumia text pm zinagoma naomba unitumie namba yako PM
 
Back
Top Bottom