Nauza vifaa vya Chips Mwanza

Nauza vifaa vya Chips Mwanza

Brodre

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,587
Reaction score
1,858
Nauza vifaa vya biashara ya chips
Meza ya plastic 1 na viti 4
Kabati la kioo na meza ya mbao
Majiko 2 ikiwepo na la mshikaki
Sahani 11
Karai ya kukaangia chips
Vikaangio viwili

Jumla 350000 sijapiga picha ila tunaweza arrange kuviangalia vipo mtaa wa kirumba sokoni
 
Usinyanyue mikono mapema, kuwa mvumilivu, Kama umefanya kwa miaka 3 labda, komaa ndugu.... usikimbie
 
Hapo cha kufanya ni kununua vifaa vyote na kubakia eneo hilo hilo la biashara. Kwa kufanya hivi utakuwa umenunua biashara nzima mpaka wateja hivyo unakuwa na uhakika wa kuwa na faida nzuri
 
Elekeza vizuri . Misheni upande upi? au ni pale nje ya jeti la rockcity mall upande wa uwanja wa furahisha?
Hapana bara bara ya kwenda kirumba karibia na sehemu ya betting
 
Vifaa bado vipo wakuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom