Nauza unga wa lishe

Nauza unga wa lishe

Hello dears... Ndugu zangu waislamu Ramadhani ishanukia, na kama tunavyojua mfungo wake uji buana tena wenye iliki kdg, pilipili manga, tui la nazi na manjonjo mengine Sii waislamu tu hata ndugu zng wakristo tunaofunga unashauriwa kutumia kimiminika cha moto pale unapofungua!

And what is better than uji mtamuu wenye virutubisho vyote stahiki?? BEAH NUTRI FLOUR INAKUJALI.. KARIBUNI SANA
0769112563 / 0658224994
IMG_20180506_064149_071.jpg
IMG-20180506-WA0008.jpg


Ingredients: Ulezi, Soya, Mbegu za maboga, Mahindi ya bisi na Karanga!
 
Mbona umekuwa mgumu sana kutaja bei mkuu? Taja bei uone wateja watavyojaa,au bei zako ghali sana kiasi cha kuhofia kuweka hadharani ?
 
Kwa walio mwanza au wenyeji wa mwanzs wanisadie sehemu ambapo ntapata kazi yoyote ile ambayo haina uhitaji wa vigezo vya elimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom