Nauza unga wa lishe

Nauza unga wa lishe

Joined
Mar 7, 2018
Posts
30
Reaction score
11
Kwa mahitaji ya unga wa lishe ulio bora kabisa na asili 100% uitwao Beah Nutri-Flour wenye mchanganyiko wa Ulezi, Soya, Karanga, Mahindi Lishe na Mbegu za maboga plz nicheck kupitia 0769112563 / 0658224994.

Unga huu ni mahususi kwaajili ya kuboresha afya ya mtoto kwanzia miezi sita mpaka mzee kikongwe.. Ni mzuri kwa mama wajawazito, wanaonyenyesha na wagonjwa pia (haswa wenye kisukari na presha)
KILO 5,000TU
NIKO MWANZA ILA MIKOA YOTEE NATUMA
KARIBUNI SANA!
 
Kwa mahitaji ya unga wa lishe ulio bora kabisa na asili 100% uitwao Beah Nutri-Flour wenye mchanganyiko wa Ulezi, Soya, Karanga, Mahindi Lishe na Mbegu za maboga plz nicheck kupitia 0769112563 / 0658224994.

Unga huu ni mahususi kwaajili ya kuboresha afya ya mtoto kwanzia miezi sita mpaka mzee kikongwe.. Ni mzuri kwa mama wajawazito, wanaonyenyesha na wagonjwa pia (haswa wenye kisukari na presha)
KILO 5,000TU
NIKO MWANZA ILA MIKOA YOTEE NATUMA
KARIBUNI SANA!
Hii ndo picha ya sampo za unga wetu.. Karibuni sn
IMG-20180313-WA0036.jpg
 
Kazi nzuri sana. Nakuunga mkono dadaangu. Wanawake tujikwamuwe.kiuchumi kwa kufanya kazi za kutumia akili kama hii!
 
Ungeweka na nutrition content percentage wise ingesaidia.
 
Unga wa Beah Nutri-Flour ni unga wa lishe kwaajili ya uji mtamuu ni mzuri kwa watoto wa miezi 6+ ,mama wajawazito,mama wanaonyonyesha, na familia nzima kwa ujumla, wazee na wagonjwa.

Una virutubisho vya kutosha!
Napatikana Mwanza ila natuma mikoa yote, KARIBUNI
0769112563 / 0658224994
IMG-20180321-WA0043.jpg
IMG_20180321_124926.jpg
 
Unga wetu unaitwa BEAH NUTRI-FLOUR wenye mchanganyiko wa Soya, Ulezi, Karanga, Mahindi Lishe na Mbegu za maboga.

Unga huu una virutubisho muhimu kwaajili ya kuboresha afya ya mwili na ni mzuri kwa kila rika na wagonjwa pia, hata mwenye kisukari na presha anatumia bila shida.

Tuko mwanza lakini mikoa yote tunatuma na kama unahitaji UWAKALA plz tupigie 0769112563 / 0658224994
1521804583281.jpg
IMG-20180323-WA0020.jpg
 
Hbr wapendwa mm ni muuzaji na msambazaji wa bidhaa iitwayo BEAH NUTRI-FLOUR, unga huu unamchanganyiko wa soya, karanga,mbegu za maboga,ulezi na mahindi lishe.

Ni mzuri kwa watoto kwanzia miez6+ na rika zote, ni mzuri pia kwa wazee na wagonjwa wa kisukari na presha.

Ujaribu unga wetu leo hautojutia maana una virutubisho vya kutosha na pia ni mtaamu balaa!

Tuko Mwanza na mikoa yote tunatuma.
Tupigie 0769112563 / 0658224994

NB:- kwa anaehitaji UWAKALA pia kwa mtaji mdogo tutafute, KARIBUNI SN
1521804583281.jpg
IMG-20180323-WA0024.jpg
 
Habari wapendwa? BEAH NUTRI-FLOUR inapokea oda kubwa kwaajili ya mashule, misiba, maofisi, sherehe na kadhalika...

Sisi ni waandaaji na wauzaji wa unga bora kabisa wa lishe kwaajili ya watu rika zote.

Tunapokea oda kwa bei nafuu sana.. Njoo tufanye biashara na hutojutia!

Tunapatikana Mwanza lakini huduma zetu zitakufikia popote ulipo..KARIBUNI SANA WAPENDWA!

Ili kutoa oda tupigie/ Sms/ whatsapp: 0769112563 / 0658224994
1524065237231.jpg
IMG-20180418-WA0014.jpg
 
Habari wapendwa? BEAH NUTRI-FLOUR inapokea oda kubwa kwaajili ya mashule, misiba, maofisi, sherehe na kadhalika...

Sisi ni waandaaji na wauzaji wa unga bora kabisa wa lishe kwaajili ya watu rika zote. Mchanganyiko ni:- Soya, Ulezi, Karanga, Mahindi ya bisi na Mbegu za Mabiga...

Tunapokea oda kwa bei nafuu sana.. Njoo tufanye biashara na hutojutia!

Tunapatikana Mwanza lakini huduma zetu zitakufikia popote ulipo..KARIBUNI SANA WAPENDWA!

Ili kutoa oda tupigie/ Sms/ whatsapp: 0769112563 / 0658224994
1524065237231.jpg
IMG-20180418-WA0014.jpg
 
Hello wapendwa...
Beah Nutri- Flour inawatangazia kuwa wamepatikana mawakala dar na znz kwahiyo kwa wale wateja wetu wa unga wetu wa lishe wasiliana na mawakala kujipatia bidhaa yetu bora kbs.. Pakti ni 5000 tu..
Namba za mawakala Dar ni 0715318721 / 0767318721 na Zanzibar tupo Darajani Malindi, call 0779888236/ whatsap 0714689297
Mwanza tupigie 0769112563 / 0658224994
IMG-20180418-WA0016.jpg
IMG_20180428_214147_833.jpg
IMG_20180427_161222_422.jpg
 
Nyie watu wa lishe mnataka kutuulia watoto kwa kujifanya wabunifu saaa mambegu mpkaa ya maboga ya nn kwenye uji wa mtoto aaaaagh
 
Nyie watu wa lishe mnataka kutuulia watoto kwa kujifanya wabunifu saaa mambegu mpkaa ya maboga ya nn kwenye uji wa mtoto aaaaagh
Si huwa nasikiaga eti hizo mbegu zinaongezaga nguvu za "kupiga kazi"!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom