Nauza Unga wa Alkasusu

Nauza Unga wa Alkasusu

Unatengenezwa na nn Huo unga??
Kuna wengine wanasaga Erecto tabs 100mgs wanachanganya
Tuwekee ingredients zake hapa

Kuna siku nimekunywa Kitu kilisoma 5g kidogo radiation zilete shida Kama za korona
Bahati nzur mama yeyoo alikuwa home
Akawa insulator wa radiation

La sivyo ingekula kwangu
Nlipiga mashine hatar fayaaa akaniambia Kuna Kitu nmetumia nikaruka futa mia

Masaa matano Kitu hakilali, nikashtuka ile chai nliyokunywa wameniwekea
Maklafeti,
Nlipata taabu Sana nataka siku ninywe halafu ni mchukue Pisi kali au Sky Eclat au Carleen
Tufurahie maisha
Siku hiyo nataka niwe na kipururu mixer na Alkasusu Waka waka

Sent by IPhone
Mchanganyiko wa Alkasus
1.Alkasus yenyewe
2.Habat soda ya unga
3.Kahawa
4.Tangawizi
5.Pilipili mtama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom