Nauza Trekta

Nauza Trekta

Uled

New Member
Joined
Sep 15, 2011
Posts
1
Reaction score
0
Jaman nauza Trekta,ni mpya kabisa haijatumika Tanzania ni MF 240. Na International 684 hii imetumika Tanzania. Bei maelewano 0713474348 Khalid
 
Zina hourse power ngapi? Je ni 4*4? Matairi yapo katika hali gani? Yamechapa kazi masaa mangapi?, yapo mji gani hapa tz? Bandika picha kaka. Kuna mtu namfaham anatafuta trekta.
 
Kilimo kwanza kimekushinda mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom