Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Hivi hii debate unaona nai-debate peke yangu au??Mkuu ligi ya nn?? Mbona jambo dogo sana hilo, mazoea yetu tu wabongo, gari ya showroom uwa tunaiona mpya, ambayo ukiinunua uwa unakua 1st owner, ila reality zinakua siyo mpya, gari mpya watz wachache ndio wenye uwezo wa kununua, example Government, kina Sabodo, Manji, yule muhindi wa Africarries pale vingungut jina limenitoka, etc
Yaani unaiona ni debate ya one side hakuna upande wa pili??
Manake sioni ukiwa-reply na wao, au kwa sababu wako uande wako kwamba gari ni Mpya?