Car4Sale Nauza Toyota Ist mpya (chassis #, unregistered)

Ume-reply katika kitu usichokielewa,
Hapo kwenye neno "Mpya" ndio hapo hapo angemalizia "kwa Tanzania" iwe kama sentensi moja.
Sio "Mpya" ipo kwenye title, na "Never Used in Tanzania" iko ndani ya Uzi,
Inaonekana unapenda ligi watu woote wameelewa sema unaenda ubishi tu...
 
Inaonekana unapenda ligi watu woote wameelewa sema unaenda ubishi tu...
Kupenda Ligi vipi??
Hakuna gari Jipya hapo wewe, wacha kupotosha, unless labda neno JIPYA now days lina tafsiri mpya/ tofauti from BAKITA.
Neno Sahihi kwa kitu Kilichotumika nje ambacho kimekuja kuanza kutumika nchini kwa mara ya kwanza ni Mtumba.
Wewe kama unajihisi hupendi ligi basi kubaliana na ufafanuzi wangu huu.
 
Mleta mada unataka kuuza gari lako,usiwe mbishi,waambie mods warekebishe kichwa cha uzi wako... Motokaa mpya maana yake ni zero km... Na kama ni Zero Km huwezi ipapachua IST kwa bei hiyo...
 
Kupenda Ligi vipi??
Hakuna gari Jipya hapo wewe, wacha kupotosha, unless labda neno JIPYA now days lina tafsiri mpya/ tofauti from BAKITA.
Neno Sahihi kwa kitu Kilichotumika nje ambacho kimekuja kuanza kutumika nchini kwa mara ya kwanza ni Mtumba.
Wewe kama unajihisi hupendi ligi basi kubaliana na ufafanuzi wangu huu.
Hilo gari maadam limeshatumika ni mtumba. Hamna haja ya kuzungusha maneno. Unaweza ukapata mwanamke mpya kwako lakini kama alushabikiriwa na mwanaume mwingine huwezi kusema umepata mwanamke bikira... used ni used to bila kujalisha imekuwa used na nani
 
Wakuu poleni na majukumu,

Nauza gari aina ya Toyota Ist
Chassis number
Unregistered
Never used in Tanzania
Model/Year 2002
Mileage 67,000km
Engine capacity 1290cc
Tshs 9.5milion (fixed)
Call 0787 646442
Location: Ilala Dar es salaam

Kwa mahitaji ya gari new and used wasiliana na mim faster mara moja 0787 646442

c33b576e5a1f6b89ea6e9d05a4b452a5.jpg

86f27a546abe39ffaf99e906b4972e86.jpg

fbbc32935c7ac0a537d91fff89f35741.jpg

815397a36bd2b6f4d8171ed5adf66c51.jpg

05d8f489b89623b6ea8d91937a79d813.jpg

00ba06d0e25f243205b2402d9b7517a1.jpg

e87e8787bcd7a466c79cbe6770e24173.jpg
Muone said mafua hapo au Kijana wngu Dege tua akupe hela hiyo fasta
 
Kupenda Ligi vipi??
Hakuna gari Jipya hapo wewe, wacha kupotosha, unless labda neno JIPYA now days lina tafsiri mpya/ tofauti from BAKITA.
Neno Sahihi kwa kitu Kilichotumika nje ambacho kimekuja kuanza kutumika nchini kwa mara ya kwanza ni Mtumba.
Wewe kama unajihisi hupendi ligi basi kubaliana na ufafanuzi wangu huu.
Acha siasa kwenye biashara za watu hiyo ni gari second end lakin mnunuaji wa tz atakua first user atapata na usajiri mpya we una shilingi ngapi kama huna hela achana na huu uzi wanunuaji waje fuata yako mkuu hii ni biashara debate za kipuuzi ondoa
 
milion 5 itapendeza zaid. mil 9 haijawa registered hiyo bei hapana tena model ya 2002?
 
halafu unajichanganya. mara unasema mpya mara unasema imetembea kim 67,000 tushike lipi sasa? na kama ni mpya kwa bei hiyo mi naihitaji sana maana najua bei ya gari mpya ni balaah. wewe umeamua kuuza kwa bei kama vile ni used.
 
Acha siasa kwenye biashara za watu hiyo ni gari second end lakin mnunuaji wa tz atakua first user atapata na usajiri mpya we una shilingi ngapi kama huna hela achana na huu uzi wanunuaji waje fuata yako mkuu hii ni biashara debate za kipuuzi ondoa
Wewe Ndio Mpuuzi katika Wapuuzi,
Hakuna Siasa hapa, Either wewe ni Mbumbumbu huelewi au Umeamua kupotosha kuvutia Wateja wa huyo nduguyo,
Hujui hata kutofautisha Usajili Mpya na gari Mpya,
Gari hata ikitumika Zanzibar Miaka 10 ukaileta hapa Bara ukapewa namba Mpya, je utaiita ni Gari Mpya??
 
Hilo gari maadam limeshatumika ni mtumba. Hamna haja ya kuzungusha maneno. Unaweza ukapata mwanamke mpya kwako lakini kama alushabikiriwa na mwanaume mwingine huwezi kusema umepata mwanamke bikira... used ni used to bila kujalisha imekuwa used na nani
Ahsante Babu,
Watu hawamiliki hata baiskeli wanakuja kubishania kwenye Magari,
Gari ina KM 67,000 tayari unaiita "Mpya" kisa tu baada ya kuletwa Bongo ikapewa namba "Mpya", Ujinga huu.
 
Ahsante Babu,
Watu hawamiliki hata baiskeli wanakuja kubishania kwenye Magari,
Gari ina KM 67,000 tayari unaiita "Mpya" kisa tu baada ya kuletwa Bongo ikapewa namba "Mpya", Ujinga huu.
Asante mkuu gar eti imetoka Burundi na mikilomita kibao ikitua bongo tu eti mpya!
 
Ahsante Babu,
Watu hawamiliki hata baiskeli wanakuja kubishania kwenye Magari,
Gari ina KM 67,000 tayari unaiita "Mpya" kisa tu baada ya kuletwa Bongo ikapewa namba "Mpya", Ujinga huu.
Mkuu ligi ya nn?? Mbona jambo dogo sana hilo, mazoea yetu tu wabongo, gari ya showroom uwa tunaiona mpya, ambayo ukiinunua uwa unakua 1st owner, ila reality zinakua siyo mpya, gari mpya watz wachache ndio wenye uwezo wa kununua, example Government, kina Sabodo, Manji, yule muhindi wa Africarries pale vingungut jina limenitoka, etc
 
Wewe Ndio Mpuuzi katika Wapuuzi,
Hakuna Siasa hapa, Either wewe ni Mbumbumbu huelewi au Umeamua kupotosha kuvutia Wateja wa huyo nduguyo,
Hujui hata kutofautisha Usajili Mpya na gari Mpya,
Gari hata ikitumika Zanzibar Miaka 10 ukaileta hapa Bara ukapewa namba Mpya, je utaiita ni Gari Mpya??
Mkuu mashindano ya nn? Mpaka unatukana watu? Lengo la kuanzisha hii thread ni kuuza gari yangu kwa mtu atakayekua interested, over
 
Acha siasa kwenye biashara za watu hiyo ni gari second end lakin mnunuaji wa tz atakua first user atapata na usajiri mpya we una shilingi ngapi kama huna hela achana na huu uzi wanunuaji waje fuata yako mkuu hii ni biashara debate za kipuuzi ondoa
Mkuu hata mm nashangaa uzi wangu umegeuka debate wakat mm natangaza biashara yangu, yaaaani wabongo sisi wajuaji wajuaji sana
Mtu kama gari haikufai/hautaji pita hivi
 
Mkuu mashindano ya nn? Mpaka unatukana watu? Lengo la kuanzisha hii thread ni kuuza gari yangu kwa mtu atakayekua interested, over
We kama unauza Gari, Uza.
Umeona comment nilioi-reply alichokiandika mpaka unasema Natukana??
Au sababu anaku- support uongo wako wa kwamba Gari ni Mpya ndio maana yeye niliemjibu unaona yuko innocent hajatukana??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom