empress
Member
- Sep 14, 2013
- 39
- 19
Wadau...ninauza tank jipyaaa..halijatumika hata siku moja...lita 3000...la brand ya Kiboko...nimefunga na koki...nililinunua dec 2016..bei dukani ni 440,000 mpaka 470,000...mim naliuza kwa laki 400,000 na usafiri kama uko Dar nitaleta kwa gharama zangu..ukiwa na uhitaji huo ni PM..