Nauza Tangawizi

Nauza Tangawizi

Edward A Chapa

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
973
Reaction score
1,394
Habari ndugu, nauza Tangawizi nyekundu na nyeupe kutoka Sumbawanga nina zaidi ya Tani 60 nauza kuanzia Tani 1, mwenye kuhitaji anipigie simu namba 0717246284. Picha zinakataa lakini ninazo whatsapp
Karibuni sana.
 
Hivi zile soda za tangawizi ni kweli ni tangawizi halisi au wameweka tu ladha yake? kama ni tangawizi halisi basi nakushauri uwasiliane na hao wenye kampuni ya coca uwauzie hizo tani zako
 
Hivi zile soda za tangawizi ni kweli ni tangawizi halisi au wameweka tu ladha yake? kama ni tangawizi halisi basi nakushauri uwasiliane na hao wenye kampuni ya coca uwauzie hizo tani zako
Sawa ndugu ngoja nijaribu kuongea nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom