Nauza sungura Wa kisasa newzealand white,chinchilla na dutch mmoja 30000 nipo mbezi Makabe Dar es salaam..
Wanafaa kwa ajili ya kufugwa na kuliwa km nyama wapo wengi sana napokea oda za mahotelini...
Mwenye soko naomba anitaarifu
Nyama ya sungura kiafya bora zaidi si kama nyama ya mbuzi,ng'ombe nk,sungura yupo kwenye kundi la nyama nyeupe kama kuku na samaki ndio maana bei yake ipo tofauti mkuu
Nyama ya sungura kiafya bora zaidi si kama nyama ya mbuzi,ng'ombe nk,sungura yupo kwenye kundi la nyama nyeupe kama kuku na samaki ndio maana bei yake ipo tofauti mkuu