Nauza Subwoof aina ya Sony

Nauza Subwoof aina ya Sony

Fundi umeme

Senior Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
116
Reaction score
24
Nauza subwoofer aina ya Sony ni original kabisa na sio feki na inapiga CD 1 ,flash,unaweza ingiza sauti ya tv ikatokea kwenye redio,inaweza kuunganishwa na pc kupigia mziki unaweza kuunga speaker zake zikawa wireless yaan ina sifa kibao na mziki wake kama umepanga unaweza pewa notes bei ni tsh 550,000 na mawasiliano 0715 505115 ,0753505115 au 0689330820.
IMG_20171128_133836.jpg
IMG_20171128_133850.jpg
IMG_20171128_133903.jpg
IMG_20171128_133917.jpg
IMG_20171128_133933.jpg
 
Hiyo bei huku niliko nalima ekali 3 ya dengu hadi kuvuna. BTW kila la kheri
 
Kwa hiyo unataka nipewe notice sio, acha nibaki na hii ya mkulima.
 
Ningekua Tz ningechukua lakini kwa bei nyingine.
 
Back
Top Bottom