Nauza startimes king'amuzi!

Nauza startimes king'amuzi!

delako

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
3,011
Reaction score
2,049
Km nilivyoandika hapo juu,King'amuz cha startimes kinauzwa pamoja na antenna yake.Bei 80,000/=nipo Dar.Nataka kuamia Azam!Ni pm if u're interested
 
Ukikosa mteja mm nina elf 5 uni PM, nahitaji kutoa spares humo.
 
Hivi startime bado inahitajka kweli mpaka sasa?
Maana mpaka uelekeze antena kisarawe au makongo
 
Na bomba/mlingoti wa chuma km nyongeza!
 
Km nilivyoandika hapo juu,King'amuz cha startimes kinauzwa pamoja na antenna yake.Bei 80,000/=nipo Dar.Nataka kuamia Azam!Ni pm if u're interested

npe kwa 60000...
 
mkuu delako acha ushamba..
PM haujibu,namba ya simu hujaweka.!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom