Nauza simu yangu iphone 5s

Nauza simu yangu iphone 5s

Da Lu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
1,209
Reaction score
2,841
Habar zenu wakuu humu ndani...Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu ajira nmeamua kuuza simu yangu ambayo nmetumia mwezi tu ili nipate mtaji wa kuanza biashara.
 
Habar zenu wakuu humu ndani...Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu ajira nmeamua kuuza simu yangu ambayo nmetumia mwezi tu ili nipate mtaji wa kuanza biashara.
Hilo ni kosa kisheria, hebu soma sheria ya makosa ya mitandao uelewe
 
Habar zenu wakuu humu ndani...Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu ajira nmeamua kuuza simu yangu ambayo nmetumia mwezi tu ili nipate mtaji wa kuanza biashara.
sh ngap mkuu nichek hapa 0713794962 tuongee
 
Simu ina miaka minne, we umetumia tu mwezii.. Hujaelewa ni ugumu wa maisha ulikufanya uwe outdated tangu awali...hahaaa
 
Back
Top Bottom