Nauza simu ya nokia model 610 made korea

alshirazy

Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
56
Reaction score
7
Husika na kichwa cha habari hapo juu nauza simu nzima kabisa haina tatizo lolote kabisa ila ni kikorea

Bei sh 80000
Mazungumzo yapo

0657 63 63 63
 
Hyo ni nokia lumia 610 windows 7.5 kwanza haifanyi ussd(huwezi kununua vifurushi, ussd inayokubali ni ya kuuliza salio tu), pili haitakubali whatsapp coz version ya software yake haisapport version mpya ya whatsapp
 
Hyo ni nokia lumia 610 windows 7.5 kwanza haifanyi ussd(huwezi kununua vifurushi, ussd inayokubali ni ya kuuliza salio tu), pili haitakubali whatsapp coz version ya software yake haisapport version mpya ya whatsapp
Asante kwa ufafanuzi wako ndio mana nilisema ni simu ya kikorea kwahiyo hata bei yake inafanana na hizo tabia ulizosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…