Wasukuma bhana, yeye akinunua kitu bei juu ndio anajiona mjaaaaaanja. Hiyo simu kwa jua hili ukipata mteja wa 200 k muuzie huyo mteja huku umempigia magoti.
Mtu Akikuambia 280 cyo kuanza kulalamika tuu ..biashara maelewano Unaweza chukua Ata Kwa 200 ..tatizo watu mnajifanya wajuaji mno wakat Hata lengo la kununua simu huna Kazi kuharibu soko la watu..
Kuna mtu anataka kuniuzia tecno J8 kwa 150 000/ anadai anadhida na pesa vp niichunguzeje kujua ka bado nzima. Nisaidien ataa ushaur ndugu zangu mambo ya cm m sijui
Kuna mtu anataka kuniuzia tecno J8 kwa 150 000/ anadai anadhida na pesa vp niichunguzeje kujua ka bado nzima. Nisaidien ataa ushaur ndugu zangu mambo ya cm m sijui
Kuna mtu anataka kuniuzia tecno J8 kwa 150 000/ anadai anadhida na pesa vp niichunguzeje kujua ka bado nzima. Nisaidien ataa ushaur ndugu zangu mambo ya cm m sijui