Nauza shamba Morogoro eka 20

Constantine1

Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
31
Reaction score
7
Bei Ni milioni mbili na nusu,shamba linapakana na mto miyombo kijiji cha ulaya katikati ya mikumi na kilosa linafaa kwa kilimo na ufugaji.
Muhitaji tuwasiliane Mara moja.

0713902202
 
Heka moja ndo 2,500,000/=,ama zote 20?,zinafaa kufuga ama kilimo cha umwagiliaji..
 
Bei Ni milioni mbili na nusu,shamba lipo jirani na mto usiokauka maji linafaa kwa kilimo na ufugaji.
Muhitaji tuwasiliane Mara moja.
hiyo bei ni kwa shamaba lote?,shamba liko sehemu gani?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…