Giannis Antetokounmpo
Senior Member
- Jan 16, 2017
- 134
- 65
Nauza shamba muheza ni ekari 40,bei yake ni 5 million..tuwasiliane.
=====
Limesafishwa kama ekari tano hivi
Chanzo cha maji kuna mto pale haupo mbali na shamba walkable distance,
Lina documents halali za umiliki,,
Na pia hilo shamba nilijenggea servant quarter ya sema bado finishing ina mabati lakini,
Kutoka kwenye lami ni kama dakika 25-40 na linafikika mda wowote hata kama mtu ana vits,,
Sababu ya kuuza ni kwamba nna project yangu nyingine nataka kufanya.
As u know muheza u can plant mahindi, maharage, machungwa, maembe, kunde mihogo.
Siuzi sehem nauza lote, bei ni fair sana coz unapata na servant quater so bei haipungui
=====
Limesafishwa kama ekari tano hivi
Chanzo cha maji kuna mto pale haupo mbali na shamba walkable distance,
Lina documents halali za umiliki,,
Na pia hilo shamba nilijenggea servant quarter ya sema bado finishing ina mabati lakini,
Kutoka kwenye lami ni kama dakika 25-40 na linafikika mda wowote hata kama mtu ana vits,,
Sababu ya kuuza ni kwamba nna project yangu nyingine nataka kufanya.
As u know muheza u can plant mahindi, maharage, machungwa, maembe, kunde mihogo.
Siuzi sehem nauza lote, bei ni fair sana coz unapata na servant quater so bei haipungui