Wakuu,
Kwa aliye na interest,ninauza shamba langu la ekari 12 lililopo kiluvya makurunge.
Ni sehemu nzuri sana ya kufugia esp ng'ombe,kuku na kitimoto.Pia ni sehemu iliyoendelezwa,kuna chumba cha mlinzi na nyumba ya kufugia kwa kuanzia.
Bei ni TShs millioni 5 kila ekari,tutanegotiate juu ya bei ya majengo yaliyopo,ingawa haitakuwa kubwa.
Kazi kwenu wadau.